Utakumbukwa milele Jane Mshana

Utakumbukwa milele Jane Mshana

Tatizo lako unakurupuka. Siri gani niliyoitoa. Mgônjwa yeyote akipona si anapewa muda ahudhurie clinic ili kuona anaendeleaje na tatizo lililomkumba? Panua uwezo wako wa kufikiri ili usifikirie unidirectional. Na kwa taarifa yako umegundua kitu ambacho sicho.

Confidentiality ya marehemu imevunjwa mkuu huna cha kujitetea hapa.iwe ilikuwa clinic ya ujauzito,kisukari,Tb n.k kama wewe ni professional hukumtendea haki.
 
Afadhali na wewe umeobserve, humu ndani kuna watu hawajui hata ukiwaelimisha hawataki kuelewa. Wanataka vile wanavyofikiri wao tu! BTW R.I.P Jane! Gone too young!


ndugu kama ingekuwa mahakamani uwezekano wa kushinda kesi ni mkubwa kwako kwani hakuna ulipotoa siri ya mgonjwa,lakini kwa upande mwingine wala haiitaji kufika darasa la 2 kuelewa ulikuwa unamaanisha ugonjwa gani.
 
This is the ône. Pole kwa ndugu na marafiki kwa kuondokewa na mpendwa wenu. Nimesikitika sana.!!

uyu mdada namkumbuka jamaniii. Tulizoea kukutana naye na kampani yao pale metropole na city park tukiwa arusha. Alikuwa mtu wa watu,TRA pale wamepoteza rafiki mcheshi na mpole...poleni kwa kampani yake , nawakumbuka wachache akina Zilla Zion, Raynald Karubaga,Ema Lumbanga,Ambakisye ,Kananda-Amani na wengineo. Poleni sana kwa kumpoteza mmpare wenu mchapakazi...Niliambiwa figo zilimsumbua sana nkatamani nimpe ya kwangu ila ndo ivo nami spana mkononi.... Tangulia Jane ,hakuna atakayebaki uku, woote twaja ila kila mtu na muda aliopangiwa
Poleni wazazi,crdb na friends wake wooote. RIP JANE.
 
Ndugu yangu Nyalotsi humu JF kuna tofauti kubwa sana ya uwezo wa kupambanua mambo kwa baadhi ya watu hivyo wewe piga kimya sijaona mahali popote ulipokosea.Zaidi na zaidi nimesikitika kuona baadhi ya Watanzania wenzangu hawajui maana ya neno CLINIC.
NEVER ARGUE WITH STUPID PEOPLE,THEY WILL DRAG YOU DOWN TO THEIR LEVEL AND THEN BEAT YOU WITH EXPERIENCE.


R.I.P Jane

nadhani nyalotsi umesomaujumbe huu, ua huo mjadala,achana na vilaza watu wazima tunaona kuwa ulikuwa right...hata ivo mara ya mwisho nilipokutana na washkaji wake nkawauliza mbona simuoni jeni wakaniambia ameenda clinic selian, hawakuishia apo wakaniambia figo zinamsumbua...kama majirani zake wanajua aya yote, bado ji siri?tafadhali ua huo mjadala , mheshimu aliyemaliza safari yake apa duniani RI P JANE
 
we vipi! Ametoa siri
gani? Mbna kuna clinic za kisukari,kansa,aids na hata moyo.hakuna siri
ilyotolewa.

jamani,mbona mnalumbana wenyewe kwa wenyewe badala ya kujadili hoja?demu amechomoka kwa ngwengwe nini?
 
Nadhani huyu ndiye wa kwanza kutangazwa bila kutangulizwa neno billionaire. Kweli Arusha padogo,wote wanajuana.
 
Confidentiality ya marehemu imevunjwa mkuu huna cha kujitetea hapa.iwe ilikuwa clinic ya ujauzito,kisukari,Tb n.k kama wewe ni professional hukumtendea haki.

U have said it all mkuu;huyu dokta majanga,na i doubt kama ni daktar wa 5 yrs au just a medical assistant ------- zake;ndo wanatoaga siri za ndugu zetu hivi hivi ,wamepata div four ya 26 wanakimbilia nursing ,kaniudhi huyu mpuuzi;anahisi watu wote vilaza and cannot think outside the box
 
uyu mdada namkumbuka jamaniii. Tulizoea kukutana naye na kampani yao pale metropole na city park tukiwa arusha. Alikuwa mtu wa watu,TRA pale wamepoteza rafiki mcheshi na mpole...poleni kwa kampani yake , nawakumbuka wachache akina Zilla Zion, Raynald Karubaga,Ema Lumbanga,Ambakisye ,Kananda-Amani na wengineo. Poleni sana kwa kumpoteza mmpare wenu mchapakazi...Niliambiwa figo zilimsumbua sana nkatamani nimpe ya kwangu ila ndo ivo nami spana mkononi.... Tangulia Jane ,hakuna atakayebaki uku, woote twaja ila kila mtu na muda aliopangiwa
Poleni wazazi,crdb na friends wake wooote. RIP JANE.

Pole marafiki,pole Emma Lumbanga mkacheck na afya zenu sasa..mungu akuleemu dada Jane
 
Pole marafiki,pole Emma Lumbanga mkacheck na afya zenu sasa..mungu akuleemu dada Jane

Pumzika salama Jane...gone too soon
Vijana tunateketea jamani,tunaondoka bado wadogo sana
 
Nimesikitishwa sana na baadhi ya maneno ya watu, tunaongea hata hatujui mtoto wa watu alikuwa na tatizo gani, ila si vizuri kufikia conclusions za nanma hiyo... kumbe kumtizama mtu usoni waweza jua kila kitu.... am disappoited by some of your comments!

Huyu binti tangu alipokuwa secondary alikuwa anasumbuliwa sana... siwezi toa details zote ila kwa wale mlotoa judgements zisizo na kichwa wala miguu.. fikirieni tena!
 
Nimeziona picha zake facebook,kweli alikuwa anaumwa. Mungu amlaze panapostahili mpare mwenzangu.
 
Nadhani huyu ndiye wa kwanza kutangazwa bila kutangulizwa neno billionaire. Kweli Arusha padogo,wote wanajuana.

Arusha ni padogo na hakuna dogo. Hushangai kale ka issue cha mdada kupigwa risasi na police kalikuwa ni gumzo hapa mjini ? Mpaka wanasiasa wanafanya press conference?
 
Bwana ametoa,bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe!
 
Hi thread bora mods waifunge tu, maana badala ya kutoa pole tumeanza kujudge kwa kuangalia picha. Hii inaonesha ni namna gani wengi mko kwenye risk.
 
jamani,mbona mnalumbana wenyewe kwa wenyewe badala ya kujadili hoja?demu amechomoka kwa ngwengwe nini?

unashika mkia wa mbwa then unauliza et mbwa anamatako.pitia hata pc za fb
 
Back
Top Bottom