Big Results, ilianza kitambo kidogo kwenye vyuo vyetu!!Hata kama ilikuwa ya kansa kisukar matende etc hakupaswa kubwabwaja,ndo nyie mnaosma vyiuo vya Kata ,hamfundishwi Professional Ethics??shame on u
Kwa uandishi huo wewe umesoma chuo gani!?? cha kitongoji au!?
kwani clinic ni tusi au ? jf kuna vilaza khaaa!
Nadhani huyu ndiye wa kwanza kutangazwa bila kutangulizwa neno billionaire. Kweli Arusha padogo,wote wanajuana.
Nimesikitishwa sana na baadhi ya maneno ya watu, tunaongea hata hatujui mtoto wa watu alikuwa na tatizo gani, ila si vizuri kufikia conclusions za nanma hiyo... kumbe kumtizama mtu usoni waweza jua kila kitu.... am disappoited by some of your comments!
Huyu binti tangu alipokuwa secondary alikuwa anasumbuliwa sana... siwezi toa details zote ila kwa wale mlotoa judgements zisizo na kichwa wala miguu.. fikirieni tena!
Acheni fikra mgando, kwahyo Nyerere alizalilishwa tulipotangaziwa kuwa kafariki kwa ugonjwa wa kansa ya damu?Nyalotsi unajivaragua tu apa ila uzi wako wa mwanzo kabisa haujawa fea.....bora ukae kimya tu