Utajuaje kuwa unachoangalia ni filamu ya Bongo

Utajuaje kuwa unachoangalia ni filamu ya Bongo

Me umenichekesha sana hapo kwene namba 9


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Kama kuna house boy basi utakuta anawala watoto na mama yao hahahahaha hii michezo inaniachaga hoi sana ingawa wenyewe wanaita filamu


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
>Star lazima achanganye lugha
>ubora wa kasha hauendan na movie yenyewe.

Near by Mlima nyoka Mbeya.
 
mimi sijui zikweje, nazionaga kwa mbaaaali nikiwa safarini.. AR-DAR
 
halafu kiuhalisia hakuna part two, ni cd one and two, ili mnunue mara mbili kudadeki, maana part 1 inapoishia ukicheki part two inaanzia hapo hapo, adi nguo wamevaa zile zile, bora wangeziita tamthilia tu
 
27: Kiswahuli kinachoongelewa and tafsiri yake ya Kiingereza ni vitu tofauti kabisa
28: actors wanapenda kupiga kelele bila sababu
29: stars wanaigiza sana, hawako at easy, too much acting
30: Sinema hazina mantiki kabisa, very simple, hazina mtazamo, kama vile acting ya birthday party
31: Hakuna gharama kubwa inayotukia kutengeneza cinema, very simple acting, hakuna kuharibu kitu
31: AIBU KUBWA kwa Tanzanian movie Industry
 
Movie za bongo mi hata siziangalii ni wizi mtupu, mi natupia vitu vya series kutoka kwa wenzetu mamtoni ambao ukiangalia movie na series zao huachi kuzitafuta
 
1. lazima mganga wa kienyeji awe anatisha,na kutoa kicheko cha ajabu cha kumtisha "mteja"
2. mwisho wa muvi lazima mtu mwenye roho mbaya ataaibika.
3. ukiitazama muvi,hadi kufikia robo ya muvi unafahamu nini kitaendelea wala huitaji part 2.
4.Ili muvi iuze lazima kwenye cover picture awepo mzee magari,chilo au maarufu yeyote.

dah?hapa no.4 umetsha.
 
Back
Top Bottom