Utajuaje kuwa unachoangalia ni filamu ya Bongo

Utajuaje kuwa unachoangalia ni filamu ya Bongo

C.T.U

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2011
Posts
5,074
Reaction score
3,753
UTAJUAJE NI BONGO MOVIES:

1. Jini akifika barabarani anaangalia pande zote ndo avukebarabara.
2. Matajiri majumba yao yana askari badala ya electric fence & gates.
3. Trailer inachukua dakika 40.
4. Part2 ya movie ukiiona mwanzo unajua part1 ilikuwaje.
5. Madem wanaamka wana makeups usoni na hereni kabisa.
6. Wakifika hotelini imezoeleka ni juice inaagizwa au wine isiyofunguliwa.
7. Nusu saa mtu anatembea,anafanya mazoezi, anakimbizwa ananunua vitu.
8. Wimbo wa malavidavi unaimba mpaka unaisha.
9. Mtu yupo village, life gumu ana wave kichwani.
10. Wote wanaouwawa kwa bunduki hupigwa kifuani au tumboni sio kichwani.
11. Jambazi lazima awe anavaa miwani nyeusi na mvuta sigara.
12. Tajiri anakuja kumpenda maskini.

Ongezea na zako..
 
13. Kuna vimlio flani huwa vinatumika kuashiria kuwa tukio la kutisha linatokea
14.Mtu kuongea mwenyewe
15. Movies zote wapenzi huitana 'baby'
16. Mtu akichapwa kofi huangukia kwenye kochi ama kitandani.
17. Mlinzi wa getini lazima awe mjingamjinga.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
18.Msichana/mwanamke
mwenye mvuto hupewa
nafasi ya kuigiza nafasi
za malavdav na lazima
awe mazingira ya mjini
19.Mwanamke/Msichana
asiye na mvuto ataigiza
mazingira ya
kimaskin,kijijini ama
housegal
20.Mwanaume sharti
uwa Tall or size ya
kati,mwanaume ukiwa
mfupi huwezi kupewa
nafasi ya kuwa main
character kwenye muvi
za malavdav hata uwe na
kipaji vipi
 
20. Waigizaji wa kike lazima wapige jeki chakula ya watoto then kuvaa vimini hadi sehemu isiyohusika.
 
1. Jini akifika barabarani anaangalia pande zote ndo avukebarabara.
2. Matajiri majumba yao yana askari badala ya electric fence & gates.
3. Trailer inachukua dakika 40.
4. Part2 ya movie ukiiona mwanzo unajua part1 ilikuwaje.
... 5. Madem wanaamka wana makeups usoni na hereni kabisa.
6. Wakifika hotelini imezoeleka ni juice inaagizwa au wine isiyofunguliwa.
7. Nusu saa mtu anatembea,anafanya mazoezi, anakimbizwa ananunua vitu.
8. Wimbo wa malavidavi unaimba mpaka unaisha.
9. Mtu yupo village, life gumu ana wave kichwani.
10. Wote wanaouwawa kwa bunduki hupigwa kifuani au tumboni sio kichwani.
11. Jambazi lazima awe anavaa miwani nyeusi na mvuta sigara.
12. Tajiri anakuja kumpenda maskini
 
1. Jini akifika barabarani anaangalia pande zote ndo avukebarabara.
2. Matajiri majumba yao yana askari badala ya electric fence & gates.
3. Trailer inachukua dakika 40.
4. Part2 ya movie ukiiona mwanzo unajua part1 ilikuwaje.
... 5. Madem wanaamka wana makeups usoni na hereni kabisa.
6. Wakifika hotelini imezoeleka ni juice inaagizwa au wine isiyofunguliwa.
7. Nusu saa mtu anatembea,anafanya mazoezi, anakimbizwa ananunua vitu.
8. Wimbo wa malavidavi unaimba mpaka unaisha.
9. Mtu yupo village, life gumu ana wave kichwani.
10. Wote wanaouwawa kwa bunduki hupigwa kifuani au tumboni sio kichwani.
11. Jambazi lazima awe anavaa miwani nyeusi na mvuta sigara.
12. Tajiri anakuja kumpenda maskini

13. Jambazi lazima avae koti refu hadi
14. Sterig akikasilika lazima azungumze jojina
waigizaje wa kike
 
1. lazima mganga wa kienyeji awe anatisha,na kutoa kicheko cha ajabu cha kumtisha "mteja"
2. mwisho wa muvi lazima mtu mwenye roho mbaya ataaibika.
3. ukiitazama muvi,hadi kufikia robo ya muvi unafahamu nini kitaendelea wala huitaji part 2.
4.Ili muvi iuze lazima kwenye cover picture awepo mzee magari,chilo au maarufu yeyote.
 
1. Jini akifika barabarani anaangalia pande zote ndo avukebarabara.
2. Matajiri majumba yao yana askari badala ya electric fence & gates.
3. Trailer inachukua dakika 40.
4. Part2 ya movie ukiiona mwanzo unajua part1 ilikuwaje.
... 5. Madem wanaamka wana makeups usoni na hereni kabisa.
6. Wakifika hotelini imezoeleka ni juice inaagizwa au wine isiyofunguliwa.
7. Nusu saa mtu anatembea,anafanya mazoezi, anakimbizwa ananunua vitu.
8. Wimbo wa malavidavi unaimba mpaka unaisha.
9. Mtu yupo village, life gumu ana wave kichwani.
10. Wote wanaouwawa kwa bunduki hupigwa kifuani au tumboni sio kichwani.
11. Jambazi lazima awe anavaa miwani nyeusi na mvuta sigara.
12. Tajiri anakuja kumpenda maskini



Haka kauzi umekatoa sehem kalikuwa kanazisema NIGERIAN MOVIES. Any way thanks kwa modifications na kuwaletea ambao hawataweza kukapata kule.
 
1.Mganga lazima azungushie kitambaa chekundu
2.lazima prado itumike,
3.lazima kwenye subtitle wataandika ungoro baadh ya sehem.
4.nshawa kuona wanaoga ila cjawa kuona wanapiga mswaki,
 
Back
Top Bottom