Sio mkeo, mkweo!
ah kumbe mama mkwe...loh basi hapo itabidi tuu nimwambie mtoto wako ulimundisha vizuri kweli kwenye hili suala...maana game analonipa ni balaaaa. job well done mum!!!
Sio mkeo, mkweo!
Nitaenda kuwaletea Kondomu......
Rahisi sana hiyo ni kuchukua jiwe moja tu na kuwatandika mpaka hamu yote ya kutiana inawaisha....
Wafunike shuka! Kama vipi kula wa mbuzi tu uchune uso!
Kwani kati yenu kuna aliyewaita waje kukulana hapo?
Aibu za kinafiki tupa kulee!
Huyo mkweo alimzaa vipi huyo uliemuoa/aliekuoa kabla hajazungusha miuno ?
Kula kabnyau tu! Kwa macho makavu.
utakuta hata kuwafukuza ishu,kama mbwa si unajua wanagandiana
Nitasema goooooooooo hi gemu tam sana yani ya fastafasta .mkwe ngoja nikaonane na mwanao kuna mazungumzo ghafla
Jali haki za wanyama mkuu