Utajiri wa Ridhwani wamweka pabaya Kikwete

Status
Not open for further replies.
Jakaya nakuomba na ninamwomba Mungu pia uweze kupata ufahamu wa kuona kesho yako kwani watanzania watakupitisha njia moja mara mbili.Ninapata hofu siku utakapo HASIWA kama mbuzi dume angalau upate uchungu ambao labda ndio utakaoufananisha na machungu iliyo mioyoni mwa Watanzania dhidi yako.
 
Na mali zake nyingi za bwana mdogo ameshirikiana na aliyekuwa mweka hazina wa bagamoyo aliyetimuliwa ukimtafuta kwa peke ake huwezi kumpata
 
Hatuko nchi ya kufikirika@ibange.hao kina rachel,mbona atleas chenge suala la rada lilijieleza wazi,lowasa ,richmond ilimfanya yeye mwenyewe ajiuzuru,aziz kagoda,si tuliona document kuhusu wakurugenzi wa kagoda kuwa watu wake wa karibu.
Ndo maana nikasema wenye evidence ya kuhusu riz watubandikie hapa
 
Hatuko nchi ya kufikirika@ibange.hao kina rachel,mbona atleas chenge suala la rada lilijieleza wazi,lowasa ,richmond ilimfanya yeye mwenyewe ajiuzuru,aziz kagoda,si tuliona document kuhusu wakurugenzi wa kagoda kuwa watu wake wa karibu.
Ndo maana nikasema wenye evidence ya kuhusu riz watubandikie hapa
 
Ha ha haaaaaaaaaaaaaaaa


tanzania daima
chadema
na mapacha watatu ni kundi moja?
hilo halina ubishi gazeti la tanzania daima leo lina makala kibao kuwatetea mapacha watatu huenda hili gazeti limeanza kupata ruzuku kutoka kwa mapacha watatu
 
mkuu kuna kila dalili luwa chadema walishalambishwa si bure
 
yan huyu dogo awezi kumiliki kodi za watanzania kiasi hicho na hizo gari zitakuwa zimeingia hata azijalipiwa ushuru ni magumashi tu ushenzi mtu alafu baba yk anataka kutuchakachua katiba yani nina hasira sana na huyu dogo
nani wakumlipsha kodi wakati serikali ipo mikononi mwao. Sisi tulie tu, Tusimuudhi mtoto wa mfalme.
 
Napenda sana utajiri... Lakini si kwa style ya huyu dogo
 
Reactions: kui

Una kitu cha kuandika sijui kwanini unaogopa? Hapo upo wewe na keyboard yako tu.
 
Napenda sana utajiri... Lakini si kwa style ya huyu dogo
nasi tunapenda ukweli daima si kupindisha mlichokuwa mnasimamia siku zote leo ukisoma tanzania daima ndio utajua unafiki wa hiki chama
 
Jamani hii inakera sana!!! ni lini tutachukua hatua?? wakati ni huu ! kama tumeshindwa kidemokrasia basi tujipange KULIANZISHA!!! kwani naona tunapoteza nguvu na muda mwingi kudiscuss ishu hizi hizi!!! jamani tuamke angalua hapa kwetu napo pawe na sifa za DAFUR watakao salimika wataongoza njiiiii na tutakao potea historia itatukumbuka. Kumbukeni KIAZI LAZIMA KIFUKIWE NDIO KIOTE!!
 


SOURCE: TZDaima; tumeshuhudia gazeti hili siku za karibuni wakijaribu sana kuwasafisha hawa mafisadi. Na huyu Mtikila aliwahi kufadhiliwa sana na RA katika shughuli za kanisa lake.

Nashangaa hivi Sumaye ameoga sabuni kiasi gani hadi akawa msafi?​
 
Bongo wote ni walaji tu,msitake kujifanya nyie members wote ni malaika. Leo hii mkipewa cheo mtakula kuliko hawa jamaa.

Kwa hiyo we ndio Kikwete?maana sijakuelewa elewa hapo.
 
Sijui makongoro na Madaraka Nyerere wanajisikiaje wakipata habari kama hizi? je wanasema dingi yao hakuwa mjanja au?
 

Jamani hili suala la utajili wa mtoto wa JK limekuwa linaibuliwa, mimi naomba nijulishwe utajili wake a.k.a mali alizonazo ili nami niweze kuchangia vizuri!
 
Miafrika bana..yaani mtu anapewa dhamana ya uongozi na watu wake, kisha anashirikiana na maponjoro kuwaibia watu wake mafukara waliompa dhamana ya kuwaletea maendeleo.
hakuna kitu kibaya kama kuwa mnafiki leo gazeti la tanzania daima linawatetea mapacha watatu wakati huo huo linaongelea kuhusu utajiri wa rizwan
 
ushahidi please.na pia tunataka mtikila nae atoe ushahidi juu ya ufisadi wa viongozi wa cdm na cdm kama chama kijitete wakikaa kimya itakuwa ni kweli
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…