Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,286
Watanzania kwa blah blah hatujambo...ungea fact acha siasa, wakuu wa wilaya tayari wameshatosha!
LONGO LONGO TUNilifikiri nitakuta picha ya majumba, magari nk,
Unaleta story zako baadala ya kuandika mambo ya msingi yanayohusiana na title yako.
HapakaziTu. Kuponda na Kebehi kwa wakazi wa Serengeti, Mikumi, Tarangire, Ngorongoro, a.k.a...........Aisee, umempamba Magufuli kijanja kwelikweli.
Wakati viongozi wengi afrika wanataka kumiliki mali nyingi, Magufuli anamiliki uadilifu na uongozi bora.Nimekuelewa.Asiyekuelewa na kuponda thread yako ni mmoja wa wale 71% ya wavivu wa tanzania wanaopenda vya dezo.
Mlitabiriwa kuwa mtakuja kuponda. Endeleeni Watanzania haturudi nyuma , mbele kwa mbele na Mzalendo, Mwadilifu, Mchapakazi.Blaa blaa nying kumbe shida yako ni kumsifia! Njaa mbaya sana