nico winto
Member
- Jul 2, 2017
- 34
- 27
Jamani nimekuwa nikisikia kuhusu hili swala la utajiri wa ndagu. Unapata utajiri wa kutupwa kwa masharti magumu. Kama Kuna mtu anayafamu vizuri haya mambo naomba anielekeze niishi maisha ya kifalme.
Jamani nimekuwa nikisikia kuhusu hili swala la utajiri wa ndagu. Unapata utajiri wa kutupwa kwa masharti magumu. Kama Kuna mtu anayafamu vizuri haya mambo naomba anielekeze niishi maisha ya kifalme.
Huu utajiri wa hivi ni hatari fireMleta Mada Thread Unayoianzisha
Imejadiliwa Humu Kwa Kina Sana Mpaka Maeneo Wanakopatikana Wataalam Kama Iringa, Tunduma
Kuna Utajiri Wa Kuoza Baada Ya Kufa Kimiujiza Na Kutoka Funza. Ipo Tunduma Ya Jogoo Kula Punje Za Mahindi
Akila Punje 50 Utakuwa Tajiri Miaka 50 HalafuUnakufa
MkuuHuu utajiri wa hivi ni hatari fire
Sikushauri kamwe utajiingiza kwenye maagano na vifungo vya minyororo mikubwa na usitoke tenaJamani nimekuwa nikisikia kuhusu hili swala la utajiri wa ndagu. Unapata utajiri wa kutupwa kwa masharti magumu. Kama Kuna mtu anayafamu vizuri haya mambo naomba anielekeze niishi maisha ya kifalme.
kuna mmoja arusha alienda kuchukua hela ya ndagu, karatu akapata hela sana kwa sharti mashine isisimame mpaka siku atakapo uchoka utajiri..........dadeki ninyimwe vyote sio hi starehe
ambieree erehoaaaa.............
Shigha avaeambieree erehoaaaa.............
Nani alishuhudia wakati anajiua?Kuna jamaa huku kwetu ni tajiri wa hivyo na alipewa sharti la kujiua na alipofanikisha akawa na ukwasi sana.
Yeye mwenyewe.Nani alishuhudia wakati anajiua?
Mfano ale punje mojaHuu utajiri wa hivi ni hatari fire
Upo je unaweza kulala na mama ako tena umpitishie dushe uwani?Jamani nimekuwa nikisikia kuhusu hili swala la utajiri wa ndagu. Unapata utajiri wa kutupwa kwa masharti magumu. Kama Kuna mtu anayafamu vizuri haya mambo naomba anielekeze niishi maisha ya kifalme.
Anaoza akiwa mwenyewe au anamshirikisha na mkewe?Kuna mmoja yuko igamba mbozi songwe yeye sharti lake ni anakufa kwa siku 7 anaoza hadi mafunza,sasa akifufuka hapo baada ya mwezi fuso inachanwa karatasi mupya iyoo!