Bei za dunia za mafuta na gesi kwa sasa haziruhusu uwekezaji mkubwamiaka kadhaa iliyopita tulipewa taarifa ya ugunduzi wa ma million cubic ya ujazo ya GAS asilia, na moja kwa moja viongozi wa nchi wakatwambia sasa umaskini ndo bye bye. Wimbo maarufu ulikua UCHUMI WA GAS, huku mahubiri ya kisiasa yakichagizwa na matumaini kwa watanzania kuwa wakati wetu wa kuuaga umaskini umewadia.
Nani asiyemkumbuka Prof Muhongo alivyosimamia mahubiri haya, lakini pia serikali ya CCM ilivyofikia hadi hatua ya kupeleka POLIS na JESHI kudhibiti watu kule kusini ili uchimbaji wa GAS ufanikiwe. Ziara zikafanyika nchini Algeria na URUSI ili kupata uzoefu wa kuendesha uchumi wa gas
CHA KUSHANGAZA, hakuna tena anayeongelea kuhusu UCHUMI WA GAS wala kuuaga umaskini kupitia UCHUMI WA GAS.
HUU UTAJILI WA GAS umepotelea wapi hivi??
Kabla ya gesi walisema pia mkonge wa mawasiliano ukishakamilia,gharama za mawasiliano zitakuwa ndogo......leo hii mkonge ulikamilika na gharama bado ni kubwa
Mkuu hizi ndio hoja wapinzani wanapaswa kupanda nazo majukwaani kuonyesha umma kwamba wanahadaiwa. Hili la uchumi wa gas likipata mtu mzuri wakati wa hizi kampeni dakika 5 tu kila mkutano litawafanya ccm kupanda jukwaani kujitetea na sio kuuzia wananchi maendeleo Kiduchu/hewa. Akipatikana mpinzani mwingine, anasifia kidogo ujenzi wa SGR ili kuchota akili za wananchi, kisha anakandamiza maelezo ya kina yatolewe kwanini reli zilizoko zimedondoka mpaka kufanya chini ya ufanisi, na matatizo hayo hayatoikumba reli hii mpya? Kuna mambo mengi wapinzani wanaweza kuifanyia damage serekali ya ccm bila kuingia kwenye mikwaruzano isiyo na sababu.
Mbona umecomment kama kuna bifu..?? YEYE AMEULIZA TU. Ulitakiwa kumjibu na sio kumtolea povu.
Soma mistari miwili ya mwisho kwny comment yakoHakuna povu hapo,
NIVYEMA KUULIZA .. KWELI GAS GESI GESI ... KIMYAAAA. WHY? TUNGEPENDA KUJUA TUMEFIKIA WAPI NA PIA KUHUSU MAKAA YA MAWE.. AHSANTE WAHUSIKAmiaka kadhaa iliyopita tulipewa taarifa ya ugunduzi wa ma million cubic ya ujazo ya GAS asilia, na moja kwa moja viongozi wa nchi wakatwambia sasa umaskini ndo bye bye. Wimbo maarufu ulikua UCHUMI WA GAS, huku mahubiri ya kisiasa yakichagizwa na matumaini kwa watanzania kuwa wakati wetu wa kuuaga umaskini umewadia.
Nani asiyemkumbuka Prof Muhongo alivyosimamia mahubiri haya, lakini pia serikali ya CCM ilivyofikia hadi hatua ya kupeleka POLIS na JESHI kudhibiti watu kule kusini ili uchimbaji wa GAS ufanikiwe. Ziara zikafanyika nchini Algeria na URUSI ili kupata uzoefu wa kuendesha uchumi wa gas
CHA KUSHANGAZA, hakuna tena anayeongelea kuhusu UCHUMI WA GAS wala kuuaga umaskini kupitia UCHUMI WA GAS.
HUU UTAJILI WA GAS umepotelea wapi hivi??
[emoji15] [emoji19]Wqshauza miaka ijayo atatokea mwingine nae atataka kuchunguza makanikia ya gesi
[emoji54] Duh!Mtasubiri sana huo uchumi wa gesi. Kilichobakia tusubiri kwanza wachina washibe wakisaza, makombo (mashimo tupu) halali yetu!
TUWE WAZALENDO, [emoji304] OPTIMISTIC POSITIVE THINKING IS HEALTHY AND CREATIVEHahaha wataalam bado wanasoma china. Wangeongeza kozi za kufukia mashimo kabla hawajarudi.
Unapiga domo apa wakati ndani kwako kuna vimitungi vya gesi acheni lawama kachimbeni nyie basi.Tatizo ni ujuaji uchwara wa hao waliojifanya washauri kumbe hawakuwahi hata kufanya kazi za uchimbaji wa gesi na mafuta.Walifikiri its business as usual kumbe wamepanda mwamba.
Sasa wamekwama kwa sababu hawana exposure wamegeuka bubu.
Hawajui kufanya speculation ya kitaalamu bali wanafikiri ukubwa wa ofisi zao ndio ukubwa wa akili.Pole sana hadi hapo ita SOS.
Aubemiyang was DortmundAUB ndo nani mkuu