pe.livinuu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 502
- 114
Ukimtekenya kidogo tu anapiga bao, halafu anamwaga kama bakuli hv halafu ni nzito na zinatoa harufu kali
Hahahahhh mmmh etieehh
Bakuli!!?
Mm cjui hata...
Ukimtekenya kidogo tu anapiga bao, halafu anamwaga kama bakuli hv halafu ni nzito na zinatoa harufu kali
Siku hizi hakuna mwanaume mshamba, maendeleo ya teknolojia yamefanya vijana wengi walio na access na mtandao wa internet kuingia porn sites na kujifunza jinsi ya kutoa huduma vizuri. Hakuna mwanaume anayekubali kuwa mshamba katika game!!!! Kwa hiyo hata kama ni mara ya kwanza atajitahidi kuonesha ufundi ili aonekane kidume na kujitunzia heshima. Kwa mantiki hii hasa wa mijini au kwenye access na mitantao ni ngumu kumfahamu mwanaume bikra. Kwa kijijini kutaweza kuwa na kaushamba kidogo hasa akikutana na mwanamke ambaye naye si mjuzi wa libeneke. Msisahau nako kule kuna visimu vya mchina wanatumia kuingia net. Dunia ya leo si ya juzi wala ya jana!!!! Watu wanabadilika katika aspects za maisha including politics!!! CCM mjiandae, watanzania wa leo si wale wa jana na leo hata kisiasa ni lazima mabadiliko yatokee kadri siku zinasonga mbele!!!!! Count down your regime!!!
Copy to Kaizer, Asprin, Ruttashobolwa, mwekundu, Vin Diesel, Elli, sosoliso, jouneGwalu, Kiranga, Nyani Ngabu, EMT, BAK, C.T.U, DEMBA, King'ast, Lisa, Nivea, MwanajamiiOne, Husninyo, miss chagga, TANMO, Mamndenyi, Kaunga, Preta, KOKUTONA, charminglady, Heaven on Earth
me najua akikosea kuingiza ndo bikra... kwenda kuchungulia wakati wa kukojoa ndo nitaonaje loh na sa ngapi?
Hivi utajauaje kwamba mwanaume ni bikra?
Hapana bana misi muchagaa ambaye ngoma haisimami ndo biRka.
wewe si umesema akikosea kuingiza ndo utamjua? sasa mpini umeuingiza mwenyewe utamjuaje kama yeye ni bikra?
mmmmmh sijui ila nadhani atakuwa mshamba tu.... kwani wewe wakati ulitoa bikra ilikuwaje?sasa kama ni gizani? hahaaa!!!
kazi kweli!
Mwaname bikra kila anapotongoza mwangalie kwenye mambo utaona kitu kinaenda hewani
akiwahi kukojoa najua ni bikra akichelewa aaaah najua hapa amna kitu
UKWELI Unabaki pale pale akikosea kuingiza huyo ndo bikra,hii nakumbuka hata mimi ilinitokea....lakini nikaanza na kidole kwanza kujua niko sahihi?me najua akikosea kuingiza ndo bikra... kwenda kuchungulia wakati wa kukojoa ndo nitaonaje loh na sa ngapi?