Utajauaje kwamba mwanaume ni bikra?

Utajauaje kwamba mwanaume ni bikra?

Hakuna mwanaume bikira, ni jinsia ya kike tu ndiyo inabikira.
 
Haya sasa mtanka kutuambia watumia tigo ndiyo mabikra ?
 
...kabla hajaanza tendo anakuwa na papara na kihoro japo anakuwa anajikaza lakini mwanamke akiwa makini anaweza gundua invisible kijasho chembamba...
 
unaingiza kidogo tuu kidole hakichomi,bali kinatekenya.....ukisikia anakutolea macho unajua ndo hapo hapo,mwanaume bikira rahisi sana kumjua hata kabla ya kuwa nae....

una maneno ka kamusi,,, aya
 
imeandikwa " angalieni adhaniae amesimama na asianguke maana wakwanza atakuwa wa mwisho na wa mwisho atakuwa wa kwanza" pamoja na kuwa nilikuwa mshamba leo ni aluatani

ngoja nikutafutie demu aje aniadisie
 
wanaume bikira wapo na ni rahisi kuwajua,chochote anachoombwa yeye hutoa tu,vikiisha vyake anauza hata vya urithi,hajui kumyima mwenzi wake ila wamebaki wachache sana duniani.
 
my expirience siku ya kwanza wengi wanashindwa kupiga mzigo akiweza kamoja illa siku zinavyozidi anabebanisha mabao hats matatu.
 
hamna bikira kwa mwanaume,tafuteni neno mbadala wa hilo neno.kwa mwanaume.na mwanamke,anaweza kutolewa bikra soi kwa kujaamiana na mwanaume,hata kuendesha baiskel ,kupiga msamba,na michezo mbalimbali kwani ule utepe ukisha tatuka tu bikra inakuwa imetoka,
 
Nilisikia mtaalamu mmoja jana Kupitia EATV akisema kwamba ni rahisi pia kumtambua mwanaume bikira kwa mujibu wa tafiti mbalimbali na mojawapo ni ,

Kuangalia ikiwa rangi ya uume wake inafanan na rangi ya uso wake



Wajuzi tusaidie
 
Ni vigumu kutambua cos vijana wanapigga sana nyeto. Kila siku kichwa cha uboo anakisugua na mkono sasa hapo unafikir utaweza kugundua? Utakuta kichwa cheusi wala hakifanani na uso
 
Back
Top Bottom