Utajauaje kwamba mwanaume ni bikra?

Utajauaje kwamba mwanaume ni bikra?

Mie nimejisemea tu


Mambo ya hii ndio a a a ina mkia mrefu a a a
Hii ndio e e e e, iko kama kata e e e
Hii ndio i i i ina kofia kichwani i i i

Kwa mwanamke ni boring sana kufundisha mwanamme, ila kwa kuwa wanamme bikra inaridhisha ego zao, wanaona fahari na hawachoki kufundisha.

mkemwenza umepindaaaaaa............ ila sipati picha akijitahidi apitishe pale pa kutolea mkojo

Wewe lakini wewe, huishi vituko bibi weye!

Kongosho amepinda alf jinsia yake hata siielewagi:smow: :smow: :smow:

hahahaha!! mtasababisha watu wajifanye wanakosea vitundu mjue. lol
 
Kwa kweli hao wanafaana wao kwa wao huko.

Wakatafute vitoto kwanza wajifunze weee, wakifuzu ndio wasake watu wazima. Muda wa kumtwisheni mtu haupo.

mkemwenza umepindaaaaaa............ ila sipati picha akijitahidi apitishe pale pa kutolea mkojo

Wewe lakini wewe, huishi vituko bibi weye!

Kongosho amepinda alf jinsia yake hata siielewagi:smow: :smow: :smow:

hahahaha!! mtasababisha watu wajifanye wanakosea vitundu mjue. lol

hahahaa Zinduna ummemsoma Kongosho? Ila mwanaume rijali hata kama hajawahi, akikutana na mwanamke lazima ngoma ichezwe tu, tofauti inaweza kuwa quality ya game yenyewe labda, japo kwa aliyesoma nadharia inaweza isimpe shida
 
Hivi utajauaje kwamba mwanaume ni bikra?[/COLOR]
ku-xlarge.jpg

images
 
Mwanmme bikra wa kazi gani? Asije akakosea kitundu bure:A S 103::A S 103:

Ukiona hivyo ujue hata wewe uliolewa bila kuwa nayo.Bikra ilikuwa kwa ajili ya mumeo tu na si vinginevyo!Kwa majibu kama yako ndio maana uzinzi hauishi na kusalitiana hakuishi maana wengi mmeonja ndefu, fupi, nene,zilizopinda pana,tight,rapurapu etc kabla ya ndoa hivyo ni ngumu kuridhika.
 
Mwaname bikra kila anapotongoza mwangalie kwenye mambo utaona kitu kinaenda hewani
 
Back
Top Bottom