Utajauaje kwamba mwanaume ni bikra?

Utajauaje kwamba mwanaume ni bikra?

Unaweza kumjua kwasababu ya
  • expressions zake zinaonesha kwamba yeye ni mgeni katika maeneo hayo.Ni kama mtoto mdogo aliyeona kitu kipya asichokifahamu au anayejifunza kitu kigeni anakuwa "WOWED" au "AMUSED" au "FASCINATED" na vitu vya kawaida ambavyo watu waliobobea katika fani hio wameshavizoea kwahio hawashangazwi.
  • Vile vile anakuwa na tabia ya kusita na kujidoubt ktk kila step,kama njia ya kujiuliza AM I DOING THIS RIGHT?
  • Aibu na uwoga hutawala zaidi pia ......
 
Kibailojia hakuna uthibitisho wowote kama ilivyo kwa mwanamke...


Hii dunia ya JF haiishi vituko mdogo wangu...

Itabindi wanaume wa dotcom waanze kutegeneza vizimba ili tuwatambue...lol!!

Babu DC!!
 
Najaribu kufikiria kuwa labda ubikira wa mwanaume ungetambulika kwa uume kuwa na layers mbili za ngozi...

Ikitumika mara moja tu basi ngozi ile ya juu inapotea na kuiacha inayofuatia na hapo mwanaume anapoteza ubikira...

Hahahah!!

Hii dunia ya JF haiishi vituko mdogo wangu...

Itabindi wanaume wa dotcom waanze kutegeneza vizimba ili tuwatambue...lol!!

Babu DC!!
 
unaweza kumjua kwasababu ya
  • expressions zake zinaonesha kwamba yeye ni mgeni katika maeneo hayo.ni kama mtoto mdogo aliyeona kitu kipya asichokifahamu au anayejifunza kitu kigeni anakuwa "wowed" au "amused" na vitu vya kawaida ambavyo watu waliobobea katika fani hio wameshavizoea kwahio hawashangazwi.
  • vile vile anakuwa na tabia ya kusita na kujidoubt ktk kila step,kama njia ya kujiuliza am i doing this right?
  • aibu na uwoga hutawala zaidi pia ......
mbona mimi ninaaibu kwa wanawake lakini ni mtaalamu balaa!
 
Estakafaulaya...................... Babu Dark City, vizimba tena?


Sasa niwambie nini hawa wajukuu??

Unajua huwa wana maswali hata mawakili hawafai kitu....

Juzi kuna kajukuu kamemuuliza Bibi kwamba, Dume ina kazi gani? Kengine kakauliza kwamba hizo golori kwenye mwili wa jogoo zina kazi gani?? Na kakorofi kamoja kalitaka kenyewe kaone mtoto anakotokea.....

Yaani maswali mengine tena yakikukamata unaware unabaki mdomo wazi...lol!!

Babu DC!!
 
Najaribu kufikiria kuwa labda ubikira wa mwanaume ungetambulika kwa uume kuwa na layers mbili za ngozi...

Ikitumika mara moja tu basi ngozi ile ya juu inapotea na kuiacha inayofuatia na hapo mwanaume anapoteza ubikira...

Hahahah!!

Mimi sitashangaa nyie wa dunia hii ya dotcom mkitoka na kitu cha namna hiyo....

Kama mnaweza kutengeneza mvua kama ile alitaka kuuziwa Uncle Lowasa mtashindwa nini??

Swali la msingi may be....ni kwa ajili ya nini??

Kuna jamaa mmoja alioa akiwa bikira (an alter boy) na sasa ana chuo cha pili na anakunywa beer zaidi ya jini!!

Babu DC!!
 
Khaaa! Dume Zima Bikra?? Mie sio VETA malena wa kazi gani!!
 
Ha ha ha ha Bina


Kwa umri wanu nikikutana na bikra wa kiume lazima nimtoe kafara, itakuwa dalili ya utajiri wa kimazingaombwe.
Haya yanawahusu fomu wani Biii


Ila watoto wa mjini siku ya kwanza anaomba kufanya salting process, ndio utashangaa kajuaje

Kumbe wewe ni ke!!
 
Unaweza kumjua kwasababu ya
  • expressions zake zinaonesha kwamba yeye ni mgeni katika maeneo hayo.Ni kama mtoto mdogo aliyeona kitu kipya asichokifahamu au anayejifunza kitu kigeni anakuwa "WOWED" au "AMUSED" na vitu vya kawaida ambavyo watu waliobobea katika fani hio wameshavizoea kwahio hawashangazwi.
  • Vile vile anakuwa na tabia ya kusita na kujidoubt ktk kila step,kama njia ya kujiuliza AM I DOING THIS RIGHT?
  • Aibu na uwoga hutawala zaidi pia ......

Labda mara nyingi huwa hivyo ila nina uhakika si mara zote.........
 
Utamjua..

0. Hakutakuwa na maandalizi yoyote..akijitahidi sana basi denda..

1.Atamaliza game ndani ya sekunde chache..


2.style atakayopendelea ni kifo cha mende hata kama anajua nyingine ..

3.Wakati wa game ya marudio atataka kuona inavyoingia..hapa dakika 1 na nusu atamaliza..

4.Atakachojali ni yeye kumaliza na siyo wewe

5.Akimaliza game lazima arukie kitaulo au anajifunika shuka..
 
images


Kwa kawaida mwanaume anapokutana na binti bikra ambaye hajawahi kuguswa na mwanaume atajua tu kwa sababu ya kile kitakachotokea baada ya tendo. Lakini swali ambalo nimekuwa nikijiuliza siku nyingi ni kuhusu kuwajua wanaume ambao katu hawajawahi kushiriki tendo la kujamiiana na mwanamke.

Hivi utajauaje kwamba mwanaume ni bikra?

Naiona hatari ya kuzalisha mapretenda!
 
enhee, kna mahal nliwah soma zaman ilaaa...

aagrrreee.... ngoja ntafte kle ktabu, ntarud keshooooooooooooooooooooooooo.....
 
Back
Top Bottom