Hapo mnatuonea sie tuliotahiriwa locally. Baada ya kukata ile ngozi, palichomwa pale palipokatwa na kichwa kuchomwa na kama majivu ya moto hivyo kubadilika rangi...ila Mentor mimi ni bikra kabisa yani...simjui mtu mke!!!!
hahaha mkuu unamaanisha hapo ulipomalizia?
Naona yule mmasai alikukuna kweli kweli...
wapiga nyeto utawajua
charminglady hadi namaliza darasa la saba sikuwa nimetahiriwa halafu nikasafiri kwenda Eldoret, Kenya ambapo mama yangu mdogo ameolewa. Baba mdogo alipogundua sijatahiriwa alihakikisha nafanyiwa tohara kabla sijarudi nyumbani...walai nilitamani kutoroka ile siku.
Anyway, sijui kama ndo nakuwa mtamu au la..sijawahi jaribu labda uje unionje!!!
Ni vigumu kutambua cos vijana wanapigga sana nyeto. Kila siku kichwa cha uboo anakisugua na mkono sasa hapo unafikir utaweza kugundua? Utakuta kichwa cheusi wala hakifanani na uso
Mentor afu kama wewe ni wa hivyo wallah ntakusaka kwa udi na uvumba make mnakuwaga watamu niaje?? Ila ole wako udanganye?? Kwangu bikra haimat cha muhimu ni hapo kwenye RED
huo uume utauonaje sasa
utatumia njia gan kuwajua?
kama tumetongozana ss n wapenz ile cku ya kwanz mnataka kugegedana ndio hapo utajua livomuelewa mtoa mada. lakin hii haitoshi wanawake mnajua mnaokutana nao kama huyu n lena, clas A, B au C
Sasa akigundua sio bikra ina maana avae nguo asepe? Je itawezekana??
Mmenikumbusha enzi za ubinti, nilimuambia mtongozaji mmoja mimi bikira. Akaniambia naomba nichungulie kuhakikisha. Hahaha nikamuambia staki. Yaani siku nikikutana na yule kaka nitamkumbusha. Alitaka kunitapeli aisee, paw angenunajeee?
haiyumkini mtoa ushauri alidanganya.
utalionaje dushe kirahisi rahisi hivo, labda mwanaume awe amelewa ndi!
huo uume utauonaje sasa