Utajauaje kwamba mwanaume ni bikra?

Utajauaje kwamba mwanaume ni bikra?

Mentor afu kama wewe ni wa hivyo wallah ntakusaka kwa udi na uvumba make mnakuwaga watamu niaje?? Ila ole wako udanganye?? Kwangu bikra haimat cha muhimu ni hapo kwenye RED

Heheh..masai style. ..you don't want absolute deep penetration...
 
Last edited by a moderator:
Nilisikia Mtaalamu Mmoja Jana Kupitia EA TV akisema Kwamba ni Rahisi Pia Kumtambua Mwanaume Bikira kwa Mujibu wa Tafiti Mbalimbali na mojawapo ni KUANGALIA IKIWA RANGI YA UUME WAKE INAFANA NA RANGI YA USO WAKE

Wajuzi Tiririkeni Hapa

Mseja ni mwanaume ambaye hajaoa , na siyo kuwa ni bikra kama ulivyoandika.
 
Huo uume atauonaje bila ya kumpa papuchi kwanza?

Na kama wanawake wote watafanya utafiti kwa staili hiyo je hiyo rangi ya uume itabakia hivyo hivyo kweli?
 
Nilisikia Mtaalamu Mmoja Jana Kupitia EA TV akisema Kwamba ni Rahisi Pia Kumtambua Mwanaume Bikira kwa Mujibu wa Tafiti Mbalimbali na mojawapo ni KUANGALIA IKIWA RANGI YA UUME WAKE INAFANA NA RANGI YA USO WAKE

Wajuzi Tiririkeni Hapa

Tafadhali weka picha😀

Amasivyo hii haipo.
 
labda kama zingekua zinakwisha kama penseli hapo ingekua poa kujua na upande wa pili kama zingekua zinajaa chupa ya chai tusinge danganywa na feki

ahahaaaa zingekuwa zinaisha kama ufuto duuu
 
Mwanaume yeyote ambaye hajawahi kufanya mapenzi,

Ngozi ya uume wake kwenye kichwa chake huwa ni nyekundu kiasi tofauti na zile nyingine ambazo experienced san huwa zina vichwa vyeusi.

Ni kama mwiko tu, mwiko ambao umezoea sana kuingia chunguni, utaugundua kwa rangi yake, na mwiko ambao ni mgeni chunguni pia utaujua tu kwa rangi yake tu!

Halafu pia, mwanaume yeyote ambaye ni bikra utamgundua kwa kutokuwa mtulivu anapokutana na mwanamke hasa hasa pale anapovuliwa nguo! Majanga huanzia hapo! hawezi jua aanzie wapi...! Utakuta wengine wakiguswa tu na mwanamke hufikia hatua ya kuruka kwa ule mtekenyo wa either vidole ama joto!

Mbona ni rahisi sana...

Lack of confidence napo linapokuja suala la kuzungumza ama kutazama na mwanamke, nako majanga huanzia hapo, kijana yeyote ambaye katimiza 18+ hajaonanana na mwanamke kimwili, km kweli ni mzima, basi ni lazima tatizo hili limkute tu!

Done--- Bachuta!
 
kaz ipo na kama si bikira uume unakolea rangi au unafifia rangi
 
Back
Top Bottom