bro alex JF-Expert Member Joined Jul 15, 2025 Posts 1,898 Reaction score 2,258 Jul 27, 2025 #201 Equation x said: Wana utajiri gani? Click to expand... USIJALI mkuu takuja na Uzi WA punda naamini hamtawachukulia POA TENA Kwishaaaa
Equation x said: Wana utajiri gani? Click to expand... USIJALI mkuu takuja na Uzi WA punda naamini hamtawachukulia POA TENA Kwishaaaa
Equation x JF-Expert Member Joined Sep 3, 2017 Posts 37,337 Reaction score 56,021 Jul 27, 2025 Thread starter #202 bro alex said: USIJALI mkuu takuja na Uzi WA punda naamini hamtawachukulia POA TENA Kwishaaaa Click to expand... Kuna sehemu nililishwa nyama yake bila kujua, niliitema kwa sababu haikuwa na ladha pendwa.
bro alex said: USIJALI mkuu takuja na Uzi WA punda naamini hamtawachukulia POA TENA Kwishaaaa Click to expand... Kuna sehemu nililishwa nyama yake bila kujua, niliitema kwa sababu haikuwa na ladha pendwa.
hearly JF-Expert Member Joined Jun 19, 2014 Posts 51,622 Reaction score 74,002 Jul 27, 2025 #203 DR HAYA LAND said: AI Ina respond kutokana na akili yako Mwambie Lucas Mashambwa atumie AI uone itakuaje. Click to expand... 🤣🤣
DR HAYA LAND said: AI Ina respond kutokana na akili yako Mwambie Lucas Mashambwa atumie AI uone itakuaje. Click to expand... 🤣🤣
Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 36,276 Reaction score 87,081 Jul 27, 2025 #204 Kwa nyuzi za imagination tu upewe tuzo..!!
DIVISHENI FOO JF-Expert Member Joined Jan 31, 2023 Posts 2,202 Reaction score 4,739 Jul 27, 2025 #205 Mimi na Lucas Mwashambwa tutahamia kijijini mwaka 2030. Sasa hivi bado tunaokota makombo ya matajiri wa dar. Tukichoka tutaenda tu jamani tusilazimishane! We kuweza?
Mimi na Lucas Mwashambwa tutahamia kijijini mwaka 2030. Sasa hivi bado tunaokota makombo ya matajiri wa dar. Tukichoka tutaenda tu jamani tusilazimishane! We kuweza?
Equation x JF-Expert Member Joined Sep 3, 2017 Posts 37,337 Reaction score 56,021 Jul 27, 2025 Thread starter #206 Lamomy said: Kwa nyuzi za imagination tu upewe tuzo..!! Click to expand... Nimevua samaki 5 hapa mtoni, najaribu kuwachoma nile na malimao.
Lamomy said: Kwa nyuzi za imagination tu upewe tuzo..!! Click to expand... Nimevua samaki 5 hapa mtoni, najaribu kuwachoma nile na malimao.
bro alex JF-Expert Member Joined Jul 15, 2025 Posts 1,898 Reaction score 2,258 Jul 27, 2025 #207 Equation x said: Kuna sehemu nililishwa nyama yake bila kujua, niliitema kwa sababu haikuwa na ladha pendwa. Click to expand... Hahahah ILA SI anakula majani HUYO kiumbe Hana SHIDA na MTU HUYO , anza na NYAMA yake ya kukaanga au kuchoma ukizoea anza kupiga na supu Kwishaaaaa
Equation x said: Kuna sehemu nililishwa nyama yake bila kujua, niliitema kwa sababu haikuwa na ladha pendwa. Click to expand... Hahahah ILA SI anakula majani HUYO kiumbe Hana SHIDA na MTU HUYO , anza na NYAMA yake ya kukaanga au kuchoma ukizoea anza kupiga na supu Kwishaaaaa
Mandingo JF-Expert Member Joined Sep 22, 2011 Posts 5,659 Reaction score 7,029 Jul 27, 2025 #208 Maisha yangu ya uzeeni haya big up sana!
M Malila JF-Expert Member Joined Dec 22, 2007 Posts 5,372 Reaction score 5,124 Jul 28, 2025 #209 ze-dudu said: Uchagani Click to expand... Uru nini au Keni ??? Kwa matope hayo, itakuwa pande za huko looh
ze-dudu said: Uchagani Click to expand... Uru nini au Keni ??? Kwa matope hayo, itakuwa pande za huko looh
Tanganian JF-Expert Member Joined Jan 27, 2025 Posts 5,093 Reaction score 8,808 Jul 28, 2025 #210 Kama ningezaliwa kijijini ,ningejenga huko...Maisha ya vijijini ni mazuri sana .
snochet JF-Expert Member Joined Mar 31, 2011 Posts 1,467 Reaction score 1,238 Jul 28, 2025 #211 My take-wazo zuri,ila umetupanga sana. Wekeza mjini uwe na income inayoeleweka--lets say unakusanya kodi ya majengo inayofika atleast 3M kila mwezi. Ndio uhamie kijijini--ila usiuze.
My take-wazo zuri,ila umetupanga sana. Wekeza mjini uwe na income inayoeleweka--lets say unakusanya kodi ya majengo inayofika atleast 3M kila mwezi. Ndio uhamie kijijini--ila usiuze.