EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,093
Utafiti nilioufanya kwa kutumia vigezo vyangu mwenyewe visivyofanana na vya Synovet wala ESRF unaonyesha kwamba wanaume hawapendi kuoa wanawake wazuri sana.
Sababu kubwa kabisa ni kuogopa pressure zitakazoletwa na hisia za mkewe kutakwa na wanaume wengi hivyo kutokuwa na uhakika wa mwanamke huyo kuwa wake peke yake.
Naruhusu findings za wengine juu ya hili karibuni.....................
Sababu kubwa kabisa ni kuogopa pressure zitakazoletwa na hisia za mkewe kutakwa na wanaume wengi hivyo kutokuwa na uhakika wa mwanamke huyo kuwa wake peke yake.
Naruhusu findings za wengine juu ya hili karibuni.....................