Shujaa Nduna
JF-Expert Member
- Sep 8, 2022
- 601
- 487
Ktk tembea zangu mikoa tofauti hapa nchini nimegundua watu wanaoishi kwenye mikoa yenye joto sana hawaridhishani kimapenzi kwakuwa hawawezi wengi wao hawawezi kupiga show ipasavyo hata bao4 kwakuwa joto kali.Halafu jingine wanaume nashauri wanaume tuwatendee haki wanawake nao wafike kileleni kama we mwanaume unavyofika unajisikia raha sa nao wakifika wanajisikia raha si ukitowa mbegu zako unahisi umemaliza tekeleza wajibu vema nyumbani si unajifanya kidume kwa wanawake wa nje ili upate sifa halafu kwa mkeo unazembea ujinga huo unataka nani amridhishe?