Wana jf wenzangu, kutokana na kautafiti ambako siyo rasmi nilikokafanya kutoka kwa ndugu, jamaa na marafiki nimekuja kugundua watu ambao wameoa wanawake wembamba wengi wao ndoa zao zimesambaratika kwa kasi ya ajabu, nilichokuja kugundua kingine hawa jamaa huwaishia hamu haraka sana wanawake wa hali hii kutokana na maumbile yao kwa sababu hata mimi binafsi kabla sijamuoa hili bonge langu la kihaya nilishawagegeda wengi wanawake wa hali hiyo lakini sikuvutiwa na hata mmoja mpaka leo hata nikipata mwanamke mwembamba nikimgegeda mara moja tu hana nafasi tena kwangu, kingine wengi wa wanaume wanao lalamika hapa jamvini cjui mara sina hamu ya kugegeda mke wangu wengi wao wana wake wembamba. Kingine wanawake wembamba wengi ambao mimi nimewapitia papuchi zinakuwa ndefu na upana uliokithiri hvyo hufanya mwanaume kuwa kinai mapema.
Take it from me; usithubutu kuoa mwanamke mwembamba itakula kwako na utakuja juta maisha yako yote hata shekhe kipozeo alishatoa ushuhuda wanawake wenye neema za allah ndo mpango mzima.
Nawasilisha
mh! makubwa haya.
mie mbona kimbaumbau na ninaburuza waume za watu wenye wake matukunyema.
ha hah ahah hebu rudi ukafanye utafiti wako tena weye.
chunguza utagundua nyumba ndogo nyingi ni portable kuliko nyumba kubwa.
chezea chuma cha reli wewe! ha ha ha ha ila kiukweli sie wembamba ni watata sio wa kuburuzwa kama hoa wanene