Utafiti: Wanawake wembamba hawadumu kwenye ndoa

Utafiti: Wanawake wembamba hawadumu kwenye ndoa

..sema weye..jambo lakini!!missing U big!!..nyie si vimbaumbau bana..ni njaa tu....mkipata kuku/bata tosha mtajaza....hamna mtu mwembamba bana...wengi wanabadilika wakitulia na kuridhika na hali zao....experience has at lest proved this to me....

hahaaaa......wala siyo njaa wengine ndiyo miili ya asili....
 
aiseee...nyie bana mpo fleksibo sana...mi napenda sana vimodo wale wengine wazuri wakiwa ndani ya pamba tu...

zile nguo zikitolewa mwilini tu...salaleeeeehhh utazani umekutana na furushi la mahindi namna lilivyotunatuna kila mahali...

si ndo hapo ukisema geuka huku fastaa geuka kuleeeeeeee fastaa nyanyuka kwa juu huyoo kata kama unaelekea kushoto huyoo njoo kwa juu hakoo kakichoka umakasapoti up down up down sio bonge kugeuka hekaheka kidogo tu mijasho debe mpaka mnamaliza hoooooiii..likichoka kulisapoti unawaza
 
We mtafiti umetoka taasisi gani ? Redet, twaweza au synovate ?
 
si ndo hapo ukisema geuka huku fastaa geuka kuleeeeeeee fastaa nyanyuka kwa juu huyoo kata kama unaelekea kushoto huyoo njoo kwa juu hakoo kakichoka umakasapoti up down up down sio bonge kugeuka hekaheka kidogo tu mijasho debe mpaka mnamaliza hoooooiii..likichoka kulisapoti unawaza

Japo nimecheka lakini mmnnnnhhh

mbona unaongea yote...wahurumie wenzio jameni...

Kumbuka mtoa mada ni mwanaume...ila hapo umehit kwa wenzetu mabonge nyanya...lol

(ila umenikumbusha navyopenda kupakatwa...sasa ningepakatwaje na kg 120? si ningevunja mtu paja)
 
Japo nimecheka lakini mmnnnnhhh

mbona unaongea yote...wahurumie wenzio jameni...

Kumbuka mtoa mada ni mwanaume...ila hapo umehit kwa wenzetu mabonge nyanya...lol

(ila umenikumbusha navyopenda kupakatwa...sasa ningepakatwaje na kg 120? si ningevunja mtu paja)

apart from kupakatwa ile kubebwa bebwa tu raha sanaa...hata mkikaa ndani mnapiga stori huku kakubeba yaani daaaahhhhh...
 
apart from kupakatwa ile kubebwa bebwa tu raha sanaa...hata mkikaa ndani mnapiga stori huku kakubeba yaani daaaahhhhh...

Kuna mziki mmoja wa Brad Paisley ...

Mbaba mkewe kalalia mkono wake afu kasinzia...mkono umekufa ganzi sababu ya uzito...sasa shughuli kuutoa bila kumwamsha...

Akati mie naweza lala kifuani mpaka kunakucha...lol na mtu alalamiki
 
Kuna mziki mmoja wa Brad Paisley ...

Mbaba mkewe kalalia mkono wake afu kasinzia...mkono umekufa ganzi sababu ya uzito...sasa shughuli kuutoa bila kumwamsha...

Akati mie naweza lala kifuani mpaka kunakucha...lol na mtu alalamiki

tihitihitihitihitihitiihi...
wee mwanamke utaniua kwa kicheko hukuuuuu uwiii mbavu zangu mie ... hapo angepiga namba ya mkewe ili askie ashtuke usingizini akienda kupokea ndo pa kunyanyuka fastaaa
 
Wana Jamiiforums wenzangu, kutokana na kautafiti ambako siyo rasmi nilikokafanya kutoka kwa ndugu, jamaa na marafiki nimekuja kugundua watu ambao wameoa wanawake wembamba wengi wao ndoa zao zimesambaratika kwa kasi ya ajabu.

Nilichokuja kugundua kingine hawa jamaa huwaishia hamu haraka sana wanawake wa hali hii kutokana na maumbile yao kwa sababu hata mimi binafsi kabla sijamuoa hili bonge langu la kihaya nilishawagegeda wengi wanawake wa hali hiyo lakini sikuvutiwa na hata mmoja mpaka leo hata nikipata mwanamke mwembamba nikimgegeda mara moja tu hana nafasi tena kwangu.

Kingine wengi wa wanaume wanaolalamika hapa jamvini sijui mara sina hamu ya kugegeda mke wangu wengi wao wana wake wembamba. Kingine wanawake wembamba wengi ambao mimi nimewapitia papuchi zinakuwa ndefu na upana uliokithiri hvyo hufanya mwanaume kuwa kinai mapema.

Take it from me; usithubutu kuoa mwanamke mwembamba itakula kwako na utakuja juta maisha yako yote hata shekhe kipozeo alishatoa ushuhuda wanawake wenye neema za allah ndo mpango mzima.

Nawasilisha

timu bamia mnatusumbua sana humu. hao basmat unao sema wanajua kazi
 
timu bamia mnatusumbua sana humu. hao basmat unao sema wanajua kazi

Kumbe na wewe umemshtukia...

Mimi nimegundua hilo long...

Ila nikaona niki amplify ntakuwa nimewakwaza na wenzie ambao si waanzisha uzi....

Ukiona mwanaume anaanza kuongelea kina sijui kikoje huna haja ya kuuliza twice...
sasa mtu akinenepa kina kinapungua...nadhani huyu ndio wale wanaishia mapajani wanadhani wameingia papuchini...

Kuna mdada tulisoma nae alikuwa anawacheka wanaume wanavyoishia kwenye mapaja yake maana alikuwa bonge haswaa...sasa anatoka na walevi for money(alikuwa changu type)...anasema anakula tu ela zao maana wanaishia maapajani....

Mkulima achagui jembe...
 
Back
Top Bottom