Utafiti: Wanawake wembamba hawadumu kwenye ndoa

Utafiti: Wanawake wembamba hawadumu kwenye ndoa

Mbona vicky kamata ni bonge
na ndoa yake ya mwisho hata hakuingia kabisa yaani alinusa nusa tu
 
uuuwiiiiii we ndo hujui kabisa .... wembamba ndio dili ...simpo potabo and ize hendling az lavu iz concerned...unamkunja unavotaka hata akichoka unamsapoti

Aaah tuache na sie tusifiwepo leo tu
 
uuuwiiiiii we ndo hujui kabisa .... wembamba ndio dili ...simpo potabo and ize hendling......

Te te te...kama mtu hana pa kwenda anafanyaje zaidi ya kuwa mvumilivu...

Maana usiangalie eti mtu anadumu kwenye ndoa...angalia anadumu kwenye ndoa gani? isijekuwa wanavumilia visivyovumilika...kwa sababu hakuna namna....

Hakuna kitu najivunia kama mwili wangu....unene tupa kule....
 
hiyo ni kweli halafu wana wivu,wakorofi,wabishi,kiburi ndio usiseme,ika wanene hadi raha anawivu ila sio wa ugomvi huwa wanapenda suluhu zaidi kuliko ugomvi,wapole wakarimu,wanaridhika na hawaishi hamu ya mapenzi
 
Yaani wewe mtoa mada hiyo post yako lazima shemeji yako nimuonyeshe kuanzia kesho utafute njia ya kupita, hapa nyumbani usipite tena najua wife atakua anakivizia akupe za uso maana umesema maneno yanayoweza kuvuruga mambo yake.
 
Te te te...kama mtu hana pa kwenda anafanyaje zaidi ya kuwa mvumilivu...

Maana usiangalie eti mtu anadumu kwenye ndoa...angalia anadumu kwenye ndoa gani? isijekuwa wanavumilia visivyovumilika...kwa sababu hakuna namna....

Hakuna kitu najivunia kama mwili wangu....unene tupa kule....

perfectly ........ila wanawake tukizaa tunapasuka haswaaaaaa....sasa mibonge ndo inakua tipwa tipwa mpaka mvuto unaishaa...atleast vimodo
 
  • Thanks
Reactions: kui
perfectly ........ila wanawake tukizaa tunapasuka haswaaaaaa....sasa mibonge ndo inakua tipwa tipwa mpaka mvuto unaishaa...atleast vimodo

Jipe moyo unachelewa we jipime ushagegedana na wangapi na mliachana kwa nn utapata jibu
 
Heheeee team mifupa mnawaumiza wanaume jamanii na hiyo mifupa mwisho ndude zikatikiemo
 
Back
Top Bottom