Hahahaaa haaaaaa haaahaa lol, mdau unaongea as if unamuelekeza mtoto wa nursery, Ebu sema ukweli mifupa ya nyonga inakaa sehemu gani hadi igongane na dushe?
Ila umenifanya nicheke kwa nguvu,
Duuuhh....ila najua....dawa yangu mi shule. Nikiwa shule nakuwaga potabo sijui ndo nisomage maisha yote hadi niwe le profesa???
sio mwembamba wala mnene
usipate tabu kusoma,, nenda china ukirudi tayari le profeseri
Duh! Mbona mnatutisha mabachela jamani? Ngoja nisitishe huu mchakato wa posa kwa muda nilifanyie uchunguzi hili
sie vimbaumbau imekula kwetu......
Hahahaaa how??
hicho kina kirefu kinakuwa kifupi akinenepa?? Maana hakuna mtu mwembamba ukumbuke...Utamuona mwembamba leo baada ya muda atakuwa mnene
Itakua weye m.b.o.o yako ndo fupi.
kuna kaka mmoja nilido naye, yani ana ki.m.b.o.o kifupi basi kila saa kinachomoka, yani baada ya wiki moja akanitafuta eti turudie mechi lol Nikamtolea nje
kha! maybe ni kweli nina kina kirefu lakini mbona naridhishwa vizuri tu, ishu ni lazima upate wa kufanana naye( nimetoa
kwa bible). Sasa utakuta dume lina kibamia kama kidole cha mwisho, unadhani litaniweza mie? kwangu lazima uwe na size
inayoeleweka bana. Kama vipi tupa kule, kwanza I have a variety of options, chezeya mie