Kukudume2013
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 1,659
- 730
Tafuta mwenye Imani na sio mwenye dini.
Hawa wanawake waliorundikana kwenye makanisa ya akina Mwamposa wakitafuta wachumba ni wa kuwaogopa kama ukoma.Kuna mabinti kibao naowaona kanisani ninaposali age 12-25 sasa najiuliza huo uhuni walifanyia wakiwa tumboni mwa mama zao.!?