Uchunguzi wakawaida utagundua idadi kubwa ya waliokosoa serekali kutaka kipengele cha dini ktk sensa ni wasomi wa kiislam waliopitia vyuo vikuu vya taifa ambao wanaujua mfumo mzima wa serekali unavyoendeshwa na athari yake kwa taifa.
ndio wasomi walioibua athari ya MOU kwa taifa.
. Lkn pia inaonyesha idadi kubwa ya jamii ya kiislam wamesusia sensa ingawa liziutumika nguvu na wengine kuhesabiwa kwa mtutu wa bunduki wakiwa wameelekezewa.
kipindi kirefu nilipokuwa nasikiliza redio za kiislam hakuna hata redio moja iliowahi kuhamasisha sensa tofaut na redio za Umma kama TBC, redio Uhuru, redio one , Redio Free Africa na Clouds fm, times na nyengine.
lkn hata redio za waumini wa kikiristo kama redio Tumaini na Wapo redio zilikuwa zinatoa matangazo ya sensa kila wakati.
chakushangaza hata redio Qurani inayomilikiwa na BAKWATA nayo haikuwahi kutoa tangazo lolote la sensa huku redio Kheir, redio imaan wao wakiwaweka masheikh wanaopinga SENSA, Redio Nuur,redio Adhana nazo Zikipiga qasida wala hujui kama kuna sensa
.
hata hao masheikh na watu wa Takwimu ambao wakihamasisha sensa wakitumia TBC au redio one na sio kwenye vyombo vya habari vya madhehebu ya kiislam ambapo jamii kubwa ya kiislam ndio inasikiliza.
huu ni ushahidi kwamba waislam walilazimishwa tu, na wengi wanapendekeza uchaguzi 2015 serekali itumie nguvu kwa wale wote wanaokataa kumchagua Mbunge au rais wa nchi kwa manufaa ya taifa kama ilivyosensa
ndio wasomi walioibua athari ya MOU kwa taifa.
. Lkn pia inaonyesha idadi kubwa ya jamii ya kiislam wamesusia sensa ingawa liziutumika nguvu na wengine kuhesabiwa kwa mtutu wa bunduki wakiwa wameelekezewa.
kipindi kirefu nilipokuwa nasikiliza redio za kiislam hakuna hata redio moja iliowahi kuhamasisha sensa tofaut na redio za Umma kama TBC, redio Uhuru, redio one , Redio Free Africa na Clouds fm, times na nyengine.
lkn hata redio za waumini wa kikiristo kama redio Tumaini na Wapo redio zilikuwa zinatoa matangazo ya sensa kila wakati.
chakushangaza hata redio Qurani inayomilikiwa na BAKWATA nayo haikuwahi kutoa tangazo lolote la sensa huku redio Kheir, redio imaan wao wakiwaweka masheikh wanaopinga SENSA, Redio Nuur,redio Adhana nazo Zikipiga qasida wala hujui kama kuna sensa
.
hata hao masheikh na watu wa Takwimu ambao wakihamasisha sensa wakitumia TBC au redio one na sio kwenye vyombo vya habari vya madhehebu ya kiislam ambapo jamii kubwa ya kiislam ndio inasikiliza.
huu ni ushahidi kwamba waislam walilazimishwa tu, na wengi wanapendekeza uchaguzi 2015 serekali itumie nguvu kwa wale wote wanaokataa kumchagua Mbunge au rais wa nchi kwa manufaa ya taifa kama ilivyosensa