Utafiti wa Nape 24HRS, Ingekuwa tafiti tulizozoea zingepewa Infinity TIMEFRAME

mitale na midimu

JF-Expert Member
Aug 26, 2015
10,420
17,701
Nimependa Tafiti ya Mh. Nape (kamati yake aliyochagua) kwamba kufanyika masaa 24 tu na leo tunapata Update,

Tafiti za zamani, kila kitu kipo, wahusika wapo lakini unaweza usipate matokeo hadi unazeeka...

Hongera waziri kwa SENSE OF URGENCY
 
Lakin huu utafit nayawaza matokeo yake kama mkulu kasema bashite kazi sijuii nn kitatokea
 
Kwa kukurupuka huku kabla ya uchunguzi alishaamua iweje na kutamka kumuhukumu RC live bila aibu wala nini.

Hakuna kitu hapo mwanaya tu aliokuwa anautafuta kwa muda mrefu juu ya Mh. Makonda tangu haswa tangu aanze kupambana.

Waziri wa kutembelea vituo vya redio na wasanii kuwasaidia kutoka jela.

Lingine hivi lini ameshaenda kuendeleza sports katika mashule nchini au kuhimiza kitu au kukuza sports nchini.

Yeye ni TV na redio tu kwa niliyozoea kuyasikia kutoka kwa hao hao wanahabari.

Angeenda Ubungo jana sio kwenda kutafuta ushindi aliokuwa anausaka na now amepiga ukuta.

Twitter huko kashaandika yake

Makonda oyeeeeee
 
Lakin huu utafit nayawaza matokeo yake kama mkulu kasema bashite kazi sijuii nn kitatokea
utafiti unakuja na findings ambazo ndani yake kunakuwa na facts sasa mkuu kasema hafanyii kazi mitandao ya kijamii nadhani itabidi akubaliane na findings na facts za tafiti. Akigoma na hapo basi nape atakuwa amefanya kazi yake njema kwa taifa. Itabidi ajiuzuru kulinda heshima yake...
 
utafiti unakuja na findings ambazo ndani yake kunakuwa na facts sasa mkuu kasema hafanyii kazi mitandao ya kijamii nadhani itabidi akubaliane na findings na facts za tafiti. Akigoma na hapo basi nape atakuwa amefanya kazi yake njema kwa taifa. Itabidi ajiuzuru kulinda heshima yake...
Ngoja tuone si ni leo mchana majibu ya tafiti daah watu tumechoka
 
Kwa kukurupuka huku kabla ya uchunguzi alishaamua iweje na kutamka kumuhukumu RC live bila aibu wala nini.

Hakuna kitu hapo mwanaya tu aliokuwa anautafuta kwa muda mrefu juu ya Mh. Makonda tangu haswa tangu aanze kupambana.

Waziri wa kutembelea vituo vya redio na wasanii kuwasaidia kutoka jela.

Lingine hivi lini ameshaenda kuendeleza sports katika mashule nchini au kuhimiza kitu au kukuza sports nchini.

Yeye ni TV na redio tu kwa niliyozoea kuyasikia kutoka kwa hao hao wanahabari.

Angeenda Ubungo jana sio kwenda kutafuta ushindi aliokuwa anausaka na now amepiga ukuta.

Twitter huko kashaandika yake

Makonda oyeeeeee

Team Bashite at work!
 
utafiti unakuja na findings ambazo ndani yake kunakuwa na facts sasa mkuu kasema hafanyii kazi mitandao ya kijamii nadhani itabidi akubaliane na findings na facts za tafiti. Akigoma na hapo basi nape atakuwa amefanya kazi yake njema kwa taifa. Itabidi ajiuzuru kulinda heshima yake...

Hilo ndilo tunalotarajia wengi,tulio fundishwa uwajibikaji!
 
Kwa kukurupuka huku kabla ya uchunguzi alishaamua iweje na kutamka kumuhukumu RC live bila aibu wala nini.

Hakuna kitu hapo mwanaya tu aliokuwa anautafuta kwa muda mrefu juu ya Mh. Makonda tangu haswa tangu aanze kupambana.

Waziri wa kutembelea vituo vya redio na wasanii kuwasaidia kutoka jela.

Lingine hivi lini ameshaenda kuendeleza sports katika mashule nchini au kuhimiza kitu au kukuza sports nchini.

Yeye ni TV na redio tu kwa niliyozoea kuyasikia kutoka kwa hao hao wanahabari.

Angeenda Ubungo jana sio kwenda kutafuta ushindi aliokuwa anausaka na now amepiga ukuta.

Twitter huko kashaandika yake

Makonda oyeeeeee
wa kukurupuka huku kabla ya uchunguzi alishaamua iweje na kutamka kumuhukumu RC live bila aibu wala nini.
Kama ni kweli au sio kweli, kitendo kile ni cha kukemewa na yeye amekemea waziwazi hapo muunge mkono. Haihitaji uchunguzi kukemea uovu ambao utokee usitokee haupaswi kuwepo.Kazi ya uchunguzi ni kugundua jambo hilo ovu na lisilofaa linalokemewa na kulaaniwa limeganyika au la...

Waziri wa kutembelea vituo vya redio na wasanii kuwasaidia kutoka jela.

Lingine hivi lini ameshaenda kuendeleza sports katika mashule nchini au kuhimiza kitu au kukuza sports nchini.

Yeye ni TV na redio tu kwa niliyozoea kuyasikia kutoka kwa hao hao wanahabari.
Hapa mpongeze kwa kufanya vizuri kwnye habari na na sanaa na mpe changamoto kwenye upande wa michezo.

Makonda oyeeeeee
Hapo kwenye OYEEE ni vizuri ukatusaidia Oyee kwa lipi, ila kwa wengi ni OYEE kwa kuthubutu,kujaribu, kubuni, na kupromote maendeleo kwa kiasi flani jijini.
Ila SI--OYEEEEEEE KWa;
1:Kupotezea DSM shule za kata Kufeli inaonekana haijamgusa...
2:Kutokuwa na Ujasiri wa kuwaonyesha wananchi wake kama ana Vyetu halali kama alivyofanya Gavana wa kenya, na Senetor mmoja wa Nigeria Dino Melaye aliyezushiwa hakugraduate Ahmadu Bello University.
3:Tuhuma za anazochunguzwa kuhusu Clouds.
 
Kwa kukurupuka huku kabla ya uchunguzi alishaamua iweje na kutamka kumuhukumu RC live bila aibu wala nini.

Hakuna kitu hapo mwanaya tu aliokuwa anautafuta kwa muda mrefu juu ya Mh. Makonda tangu haswa tangu aanze kupambana.

Waziri wa kutembelea vituo vya redio na wasanii kuwasaidia kutoka jela.

Lingine hivi lini ameshaenda kuendeleza sports katika mashule nchini au kuhimiza kitu au kukuza sports nchini.

Yeye ni TV na redio tu kwa niliyozoea kuyasikia kutoka kwa hao hao wanahabari.

Angeenda Ubungo jana sio kwenda kutafuta ushindi aliokuwa anausaka na now amepiga ukuta.

Twitter huko kashaandika yake

Makonda oyeeeeee
Hata useme nini muda wenu wa kula bata na hilo jambazi umefika ukingoni
 
Back
Top Bottom