Trustme
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,169
- 349
Sasa nani wa kuongea na ACT/ zitto ili aweze kujiunga! Kwa kweli kama zitto angeweza kujiunga ukawa ni kweli ccm na makucha yake tungewang'olea mbali ila sasa tofaiti za itikadi kati ya wakubwa wawili ndiyo zinafanya ACT/UKAWA kutokua pamoja. Najua wakiwa na nia wanaweza kuungana kama lowasa kaweza kuja UKAWA, nia ikiwepo Zitto naye atajiunga na UKAWA