Utafiti "ma dis-minder" wana IQ ndogo sana!

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,115
27,101
Desminders ni watu ambao hawajali kujua kuhusu mambo mbalimbali yanayo tokea katika maisha yao ya kila siku.

Mambo hayo yanaweza kuwa yanawahusu wao wenyewe, rafiki zao, ndugu zao wa karibu, classmates wao, waalimu wao, mtaa wao, kata yao, wilaya yao, mkoa wao, na hata nchi yao kwa kutaja machache.


Kwa mafano, desminder anaweza akawa hajui jina la mwalimu anaye mfundisha kila siku darasani, majina ya classmates wake, majina matatu ya mama yake mzazi ama tarehe yake ya kuzaliwa kwa kutaja machache.


KITU GANI KINAWAFANYA WATU KUWA MA – DISMINDER ?

Kulingana na utafiti wangu, zipo sababu kuu mbili zinazo wafanya watu kuwa ma-disminder nazo ni :

MOSI : LOW IQ


Nimefanya utafiti wangu kwa watu wapatao ishirini ambao wote ni ma-disminder na kujiridhisha pasi na shaka yoyote kwamba, watu hawa wana weak intellect.

Sababu ya pili ni :

UNAFIKI : Hapa mtu ana pretend kuwa disminder but kiuhalisia yeye sio disminder.

ATHARI ZA KUWA DISMINDER

Kulingana na utafiti wangu, ma-disminder wengi huishia kuwa na maisha magumu sana kwa sababu ya KUTOPATA TAARIFA MUHIMU ZINAZO WEZA KUWASAIDIA KATIKA MAISHA YAO : Ma disminder wengi wanaamini kuwa, kufahamu ama kujua kuhusu vitu na masuala mbalimbali ni ushamba, so huwa hawajishughulishi kujua ama kufahamu kuhusu masuala mbalimbali yanayo tokea katika jamii, jambo hili linawafanya wakose fursa mbalimbali kwa sababu ya kutokuwa na taarifa nazo.

MY TAKE : ACHA KUPRETEND HAUJUI AMA HAUJALI KUHUSU WATU, VITU NA MASUALA MBALIMBALI YANAYO TOKEA KATIKA JAMII. MWANADAMU AMEUMBWA AKIWA NA HULKA YA KUPENDA KUJUA KUHUSU WATU, VITU NA MASUALA MBALIMBALI YANAYO TOKEA KATIKA JAMII INAYO MZUNGUKA. SO UNAYEJIFANYA HAUJALI KUHUSU VITU HIVYO UNAPINGANA NA NATURE YAKO.


HATA MUNGU MWENYEWE ANAPENDA KUJUA KUHUSU MASUALA YANAYO WAHUSU WATU, NDIO MAANA ADAM NA HAWA WALIPOKULA TUNDA LA MTI WA KATIKATI, MUNGU ALIWAULIZA KUTAKA KUJUA WAPO WAPI NA KITU GANI KIMETOKEA. HAPA ANATUFUNDISHA HATA SISI KAMA WANADAMU TUWE NA TABIA YA KUWA KU -QUESTION NA KUFAHAMU KUHUSU MASUALA MBALIMBALI YANAYO TOKEA KATIKA JAMII YETU!

UKIMUONA MTU ANAJIFANYA DESMINDER BASI KAMA SIO MGONJWA WA AKILI BASI NI PRETENDER.
 
sasa wewe kila kitu ukichukulie very serious si utakufa na presha na dunia hii yenye watu na viatu? Me kiukweli najali na kufuatilia machache sana mengine tupa kuleeee ili niishi kwa amani. Ukitaka usikonde jifunze kupuuza.
 
Unaposema dis-minder wanaIQ ndogo unamanisha nini? Coz mtu mwenye IQ ndogo hawezi perform vizuri darasani, ili uwe unafaulu vizuri ni lazima uwe na power craming na uelewa ili uweze kuelezea kile ulichofundishwa! Na ukiweza hivyo = IQ kubwa!
...
Mfano wako wa dis-minder wa kusema mtu anaweza kutojua majina ya watu wa karibu yake na hata wanaomfundisha sio kigezo kwamba IQ zao ndogo! Kutoshughulikia baadhi ya mambo ambayo mtu hana interest nayo (kwa mfano majina ya watu na habari) hakuondoi lolote kwa IQ yake!
...
Tena umefika mbali na kusema maisha yao huwa mabovu kwa kukosa nafasi, huo ni uongo usio na kichwa wala miguu! Kwasababu kuwa na IQ ndogo sio sababu ya kuwa masikini untill and unless awe na EQ ndogo vilevile!
...
Apart from that, kuwa na IQ ndogo ni bora kuliko kuwa na EQ ndogo kwa kuangalia maendeleo ya mtu!
...
Hako ka research kako hakana faida yoyote zaidi ya kukuaminisha uwongo!
 
sasa wewe kila kitu ukichukulie very serious si utakufa na presha na dunia hii yenye watu na viatu? Me kiukweli najali na kufuatilia machache sana mengine tupa kuleeee ili niishi kwa amani. Ukitaka usikonde jifunze kupuuza.

Uko sahihi kabisa! Huyu LIKUD hako ka research kake alikafanya usingizini!
Nna wasiwasi pengine hata hiyo IQ haijui maana yake (sio kirefu chake) na kama LIKUD unajua maana ya IQ njoo utufafanulie!
 
U dis-minder ni fresh sana hasa kwenye daladala. Unakuta mtu kwenye siti ya pembeni anajaribu kuleta story za ccm na chadema na ufisadi, basi hapo waga naweka earphones kwa simu na kuanza kusikiliza ngoma.
 
Unaposema dis-minder wanaIQ ndogo unamanisha nini? Coz mtu mwenye IQ ndogo hawezi perform vizuri darasani, ili uwe unafaulu vizuri ni lazima uwe na power craming na uelewa ili uweze kuelezea kile ulichofundishwa! Na ukiweza hivyo = IQ kubwa!
...
Mfano wako wa dis-minder wa kusema mtu anaweza kutojua majina ya watu wa karibu yake na hata wanaomfundisha sio kigezo kwamba IQ zao ndogo! Kutoshughulikia baadhi ya mambo ambayo mtu hana interest nayo (kwa mfano majina ya watu na habari) hakuondoi lolote kwa IQ yake!
...
Tena umefika mbali na kusema maisha yao huwa mabovu kwa kukosa nafasi, huo ni uongo usio na kichwa wala miguu!
Kwasababu kuwa na IQ ndogo sio sababu ya kuwa masikini untill and unless awe na EQ ndogo vilevile!
...
Apart from that, kuwa na IQ ndogo ni bora kuliko kuwa na EQ ndogo kwa kuangalia maendeleo ya mtu!
...
Hako ka research kako hakana faida yoyote zaidi ya kukuaminisha uwongo!


Maisha yao huwa mabovu kwa sababu hawafuatilii mambo, kila jambo wao wanalipuuzia.
 
uifanya research..vp ulitumia sample gani..method gani...vp ulitumia secondary o primary data na vp research yako ilikuwa qualitative o quantitative na vp sample design ilikuwaje... na data ulzo pata ulzicompire kwenye stata o spss na hypothesis yako ilikuwaje..ulirecomend vp.....,methodology zp ulitumia....vp unajua maana ya research www div fve wa kawambwa
 
kuwa disminder kuna faida nyingi kuliko hasara....kinyume chake ni kuwa mbeya na kujishughulisha au kufuatilia mambo yasiyo na faida...disminder ana fuatilia mambo ya msingi tu na yanayomhusu...kwa mfano kama unataka kujua mambo ya biashara flani..utakomaa na yanayohusu hiyo biashara tu na kutupa kule mambo ya kupotezeana muda eg siasa, mafisadi, nani kanunua gari mpya, nani ana demu mpya,stori za bunge la katiba etc...ujinga mtupu!
 
Back
Top Bottom