Utafanyaje?

Jaguar

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,438
1,026
Umelikuta embe dodo chini bado linatoa utomvu.Tatizo umelikuta embe hili chini ya mpapai na huu mpapai haupakani na mwembe wowote.Utachukua uamuzi gani?utalila au utaliacha?
 
Umelikuta embe dodo chini bado linatoa utomvu.Tatizo umelikuta embe hili chini ya mpapai na huu mpapai haupakani na mwembe wowote.Utachukua uamuzi gani?utalila au utaliacha?

nitafikiria kwanza.......ila sitafikiria sana....nitakula embe
 
sijibu hadi jaguar aseme.
Ondoa shaka,najua ni vigumu kulikuta embe chini ya mpapai ila kuna jamaa mmoja ilimtokea hivyo,alilikuta dodo chini ya mpapai akabaki kuchanganyikiwa asijue la kufanya.
 
We vipi? Kwani ukiokota pesa barabarani au karibu na kichaka au eneo ambalo hakuna benki karibu?
Au kwa sababu ni tunda!
 
Nalichukua kisha nalisalimisha policepost kama ni lamazingara wale wao yatakayo wakuta mie simo maana wamezoea vya bure.
 
Back
Top Bottom