Hili fumbo au?
Sio fumbo wala kitendawili.
ni nini?
ni swali.. Jibu basi
Umelikuta embe dodo chini bado linatoa utomvu.Tatizo umelikuta embe hili chini ya mpapai na huu mpapai haupakani na mwembe wowote.Utachukua uamuzi gani?utalila au utaliacha?
hii ndo mitego!Ndo wanga wenyewe huo, toka lini embe dodo na mpapai?