Aisee Patrickn! Yaani umenikumbushia yaliyonipata siku moja nikitokea sekondari ya wasichana kibosho.Mvua ilikuwa imenyesha jana yake na barabara ilijaa madimbwi ya maji.Ikaja landrover moja ikiendeshwa na sista(mtawa wa katoliki) mmoja rafu kweli.Alinimwagia maji yote ya dimbwi alilolikanyaga. Alipoona hivyo alishuka haraka kwenye gari na kunijia akisema "oh my God!" Aliponifikia alisali sala ya Bwana, akanishika mkono na kuniambia "Pole mtu wa Mungu"
Alikua na shabaha? Kama alikikosa kioo ndo mtakua mliumia zaidi..........
ikaishia hapo?Aisee Patrickn! Yaani umenikumbushia yaliyonipata siku moja nikitokea sekondari ya wasichana kibosho.Mvua ilikuwa imenyesha jana yake na barabara ilijaa madimbwi ya maji.Ikaja landrover moja ikiendeshwa na sista(mtawa wa katoliki) mmoja rafu kweli.Alinimwagia maji yote ya dimbwi alilolikanyaga. Alipoona hivyo alishuka haraka kwenye gari na kunijia akisema "oh my God!" Aliponifikia alisali sala ya Bwana, akanishika mkono na kuniambia "Pole mtu wa Mungu"
Kamwe siisahau hiyo siku.
Bora hata alionesha kujaliAisee Patrickn! Yaani umenikumbushia yaliyonipata siku moja nikitokea sekondari ya wasichana kibosho.Mvua ilikuwa imenyesha jana yake na barabara ilijaa madimbwi ya maji.Ikaja landrover moja ikiendeshwa na sista(mtawa wa katoliki) mmoja rafu kweli.Alinimwagia maji yote ya dimbwi alilolikanyaga. Alipoona hivyo alishuka haraka kwenye gari na kunijia akisema "oh my God!" Aliponifikia alisali sala ya Bwana, akanishika mkono na kuniambia "Pole mtu wa Mungu"
Kamwe siisahau hiyo siku.
Hapa akili lazima ichanganyike na kinyesi, usikute usha haso sana kitaaaAlafu ukute maji yenyewe ni yachooni, alafu na wewe ndo umejipiga nguo zako white unawahi usaili muhimu sana.
Elungata, iliishia hapo ila uchungu nilokuwa nao ni kwamba huyo mtawaikaishia hapo?
ikaishia hapo?
ikaishia hapo?