Nakubali kwa sharti kuwa hizo pesa anikabidhi mimi kwanza ndo akachapwe. Alafu akirudi hanikuti nakua nimemkimbia naenda kutafuta demu wa ukweli aliye mwaminifu naishi nae.
kwani uaminifu ni nini?
Nakubali kwa sharti kuwa hizo pesa anikabidhi mimi kwanza ndo akachapwe. Alafu akirudi hanikuti nakua nimemkimbia naenda kutafuta demu wa ukweli aliye mwaminifu naishi nae.
yani me nitambusu na kuanza foreplay af nampa kitu ya maana.Unaamshwa na mkeo asubuhi na mapema kama saa kumi na moja asubuhi, upo fresh akili imesha tulia . Anakwambia kuna deal anaomba umsaidie. Ila upo choka mbaya, hata pesa ya daladala shida, nyumba yenyewe mnayo ishi ni tabutupu.
Unakaa vizuri kujua hilo deal??
" baba watoto, kuna mwanaume huko mjini ameniambia leo nikachukua hati niliyo nunua nyummba kwake pamoja na tsh. Millioni hamsini pesa kamili. Ila ili nipewe hivyo vyote natakiwa nimpe tunda kidogo tuu mara moja kama malipo ya hivyo vyote. Sasa naomba usikasirike naommba tuu niruhusu nimpe hitaji lake tubadili maisha kwani hata nikimpa si chumvi kwamba itaisha na utaikosa"
View attachment 39162
hii story ni realistic
haya mwanaume toa jibu;
kwanza nampa hongera kwani nitakuwa nimejuwa kuwa yupo aliyenizidi kwa ujanja wa kiwanja, tena nitashukuru kwa sana kuwa yeye ni mkweli wala hakutaka kunipa presha ya moyo,
hivi wana jf mnaochangia humu mmewahi kuiona filamu inaitwa 'INDECENT PROPOSAL' ??????