Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Mwanamke akitoa mapenzi kwa sababu ya material goods anakua na jina maalum kwa kiswahili: MALAYA
Kwa mwanaume ingekuwaje? Maana wanaongoza wanaume kufanya hivyo mara zote. Anatokea mwanamke ana hela anahamia kabisa wanawake wanakubali hiyo then inaisha why not you! Sisi wanawake tuko smart, wanaume wengi wanatunzwa na wanaume wenzao lakini hujui na siku inaenda, unajidai mke wangu ni mjasiriamali kumbe kuna mtu anatoa hela! hahaha men sometimes are stupid! poleni sana waungwana.