Utafanya Nini?

Utafanya Nini?

Utafanya nini ukikuta kwenye simu yako meseji inayosema:
"Umepokea tshs. 2,000,000,000/= kutoka kwa David Cameroon, 09/11/2011, 14:37:11. Bado hajasema ni za nini ila kasema we jisikie huru kuzitumia"

hahaaaaa............kweli you can't be bored in Jf.
 
Hiyo imekuja kwa ajili yako na sio mtu mwingine.....ila ni vizuri akatumiwa mukulu hiyo kitu!
Aisee hiyo msg mimi naikataa mara moja, coz ukikubali tu imekula kwako mazima
 
Utafanya nini ukikuta kwenye simu yako meseji inayosema:
"Umepokea tshs. 2,000,000,000/= kutoka kwa David Cameroon, 09/11/2011, 14:37:11. Bado hajasema ni za nini ila kasema we jisikie huru kuzitumia"
:crutch:
shauri yenu. Nyi endeleeni kumtajataja tu!
 
Na mimi ntawatumia
"Umepokea tshs. 2,000,000,000/= kutoka kwa Bazuka 09/11/2011, 14:37:11.
 
Back
Top Bottom