Utabiri wangu wa mechi ya Simba final

Utabiri wangu wa mechi ya Simba final

Alafu apo Kwa mkapa typing error sikutaka kuandika ivyo ikajileta iyo,pia Wana Simba tuache makasiriko huo ndo UKWELI,kama unatafuta pesa kwenye betting bas fata utabiri wangu upige kibunda chako, kwenye kusaka chapaa tunaweka utimu pemben kama utabiri ukikataa timu husika kushinda bas tuna beti kutokana na utabiri na si kiushabiki mana pale tunaweka pesa sio kokoto
 
Wale Mabashiri Betting Tip nilio wapa imetoa zote

GG YES FT✅✅
OVER 1.5 FT ✅✅

FINAL RESULT 1-1 FT
I'M DOGOLI KINYAMKELA ☠️💀🔥🔥 SINAGA KAZI MBOVU 😂😂🏃🏾‍♂️👴🏾

Tumwesige senior
 
Back
Top Bottom