OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 5,139
- 12,882
Wakuu mpo!
Mwaka 2024 nilitabiri Hersi atagombea ubunge mwaka 2025
www.jamiiforums.com
Leo nmeona taarifa kachukua fomu.
Niwaambie tu wajumbe kuwa hata msipo mpigia kura atapita sababu huyo ni asset kwa CCM namba moja anahitajika kipindi hiki kuliko mtu yeyote yeye na mwamposa wanahitajika kuliko mtu yeyote
Na atakuwa waziri wa michezo mtake msitake
Nawasilisha
Mwaka 2024 nilitabiri Hersi atagombea ubunge mwaka 2025
Anguko la Yanga limechangiwa na Eng Hersi mwenyewe na GSM kuwa na tamaa ya madaraka ya kisiasa mwaka 2025
Wakuu habari, Ukitafakari kwa umakini kabisa utaona kati yabHersi au GSM kuna mmoja wapo atagombea ubunge mwaka 2025, Sifa ya kwanza ya kuwa mbunge hapa bongo ni kuwa karibubu na viongozi wa CCM, kuwa maarufu, kuwa na mtaji wa watu. Hivi karibuni timu yetu imekuwa ikicheza na akili za...
Leo nmeona taarifa kachukua fomu.
Niwaambie tu wajumbe kuwa hata msipo mpigia kura atapita sababu huyo ni asset kwa CCM namba moja anahitajika kipindi hiki kuliko mtu yeyote yeye na mwamposa wanahitajika kuliko mtu yeyote
Na atakuwa waziri wa michezo mtake msitake
Nawasilisha