The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,138
Habari wakuu..
Kwa mwenendo huu wa Champions league Fainali ni baina ya Liverpool na Ajax .
Kwa mwenendo huu wa Champions league Fainali ni baina ya Liverpool na Ajax .
Kuna watu wanaiba siti mkuu?Nalinda siti hapa, nitacomment muda ukifika
Hujiamini na timu yakoNalinda siti hapa, nitacomment muda ukifika
Hasira za nini? Hujiamini na timu yako ya ChelseaWewe ni takataka.
Hakuna atakayeingia fainali hapoHabari wakuu..
Kwa mwenendo huu wa Champions league Fainali ni baina ya Liverpool na Ajax .
Mbona hutaji watakaoingia?Hakuna atakayeingia fainali hapo
Mkuu, utabiri wako ni kuwa mmojawapo wa hao wawili anaweza kuwa bingwa. Kama ratiba ya mtowano na mpaka fainali imetoka, ingeweza kuwa sawa. Lakini, wanaweza kukutanishwa mapema kabla ya kufika fainali. Hivyo, fainali wasikutane.Habari wakuu..
Kwa mwenendo huu wa Champions league Fainali ni baina ya Liverpool na Ajax .
Na hawatakutanishwa kwa sababu wameongoza makundi yaoMkuu, utabiri wako ni kuwa mmojawapo wa hao wawili anaweza kuwa bingwa. Kama ratiba ya mtowano na mpaka fainali imetoka, ingeweza kuwa sawa. Lakini, wanaweza kukutanishwa mapema kabla ya kufika fainali. Hivyo, fainali wasikutane.
Je wakipita robo kisha wakakutana nusu fainali?Na hawatakutanishwa kwa sababu wameongoza makundi yao
Wewe ni Man U bila shaka si kwa unyonge huo.Hujaangalia mpira wa Bayern's Munich na dotmund hao ajax wako na liverpool hawatoboi wale jamaa ni makatili sana.
Man u hawajiamini na Wana CR7. 😂😂😂Hujiamini na timu yako
Ajax wanautoto mwingi Kila uefa wanaanza vizuri Ila kwenye robo au nusu final wanazingua sanaHabari wakuu..
Kwa mwenendo huu wa Champions league Fainali ni baina ya Liverpool na Ajax .
Msomi huu wamejipanga vizuriAjax wanautoto mwingi Kila uefa wanaanza vizuri Ila kwenye robo au nusu final wanazingua sana