kelao
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 8,132
- 5,785
Mrithi wa aliyekuwa mtabiri na mganga wa kienyeji marehemu Shekhe Yahaya Hussein, Hassan Yahaya ametabiri mambo mbalimbali yatakayotokea mwaka 2014,kubwa amesema ametabiri kiongozi mkubwa wa chama cha siasa atang'olewa katika nafasi yake.Pia kasema hatua hiyo itamsababishia anguko kubwa la kisiasa kiongozi huyo.Pia kasema rais Kikwete kwa mwaka huu atafanya jambo kubwa ambalo litamjengea heshima kubwa kitaifa na kimataifa.Kaongezd mwaka 2014 sio mzuri kwa viongozi wa kidini.my take:mgogoro wa CDM na ZITTO ndo umepelekea utabiri huu au kuna kiongozi mwingine mkubwa wa chama cha siasa?