Chomx_active
Member
- Nov 27, 2015
- 9
- 8
Yaliyonenwa na Musa yametimia
Kamari haiwezekani.Mkuu huyu awekeze ndoto zake Sport Pesa hatopata muda wa kuingia ingia Jf Mara kwa Mara. Nadra sana kutabiri na kutokea.
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻Duh! Haya Mkuu ngoja niendelee na toba, lakini siku zangu zikifika hakuna Jinsi lazima nimrudishie Sir God no yake ili anipangie majukumu mengine huko niendako!!
Sijahukumu bwanaJamani usihukumu ndoto yoyote ile, maana hukushiriki kuitengeneza!!
Vipi Kama Kuna mkono wake🥱Dah.! Tusamehe kwa kejeli. You are real priest of living God.
Yaani mimi hata nikitabiri kwamba POPOMA la kutukuka ambalo limefuzu mbinu za kimedani (GENTA) Litachomekwa mkunyenye basi mjue POPOMA la kutukuka popote lilipo mpaka december halitakuwa na marinda.
Unamchokoza mwenyewe ,ngoja ni mtag GENTAMYCINE aje kukupa muongozo.Yaani mimi hata nikitabiri kwamba POPOMA la kutukuka ambalo limefuzu mbinu za kimedani (GENTA) Litachomekwa mkunyenye basi mjue POPOMA la kutukuka popote lilipo mpaka december halitakuwa na marinda.
JUST A JOKE!
Hahahahahahahahahah!Ukisikia maneno ya kumtoa nyoka pangoni ndio hayaUnamchokoza mwenyewe ,ngoja ni mtag GENTAMYCINE aje kukupa muongozo.
Ndugu yangu endelea na mipango yako kama kawaida, kuna maelfu ya ndege duniani kila dakika anga imejaa na kwa uwezo wa Munguwanafika salama ni moja ya vyombo vinausalama sana sababu kubwa automated haya mambo yanatokea kama gari zinaanguka kila siku bado lakini bado tunapanda gari. Kuwa na imani gari kwa mwaka Tz zinamaliza watu kuliko hiyo ndege na sababu ya ndege kuwa big story sababu ni nadra kutokea kwa kuwa ni salama zaidi inakuwa shock ikitokea lakini gari kila dakika zinachukuwa uhai wa watu. keep safeNilikuwa na safari ya kwenda Dubai nitafanyaje sasa
Mkuu yaani kabisa Mkuu unaombea na hata kutamani GENTAMYCINE niliwe 'Nukudi' yangu?Yaani mimi hata nikitabiri kwamba POPOMA la kutukuka ambalo limefuzu mbinu za kimedani (GENTA) Litachomekwa mkunyenye basi mjue POPOMA la kutukuka popote lilipo mpaka december halitakuwa na marinda.
JUST A JOKE!
Hapana nakukatalia.kama anaota na yeye kuja hapa jukwaan kueleza haina ubaya.kuhusu anavyoota kuwa kweli sio vibaya pia ni karama tu mungu anampa.ndoto huwa ni maono anapewa mtu ingawaje wafasiri wa ndoto wachache maana ndoto huwa hailet taswira halisi eti ikupe data kamili itakuwa hivi itakuwa hiv hapana.nikupe mfano, katika manabii wa mungu Yusuf (a.s) alipewa.kipaji cha kutafsiri ndoto.miongoni mwa ndoto maarufu ni za wale wafungwa wenziye wawil ambao waliota, ndoto maarufu hizo sidhan kama kuna asiyezijua. Nichkue moja tu kuonesha mfano.ile ndoto yaMfalme aliyoota ya ng'ombe saba walionona wanaliwa na 7 waliokonda baada ya Yusuf kuelezwa aakasem miaka saba ya neema na mavuno kisha itakuja miaka saba ya njaa.so Misri mfalme akamwambia wewe wewe uliyetafsiri ndio utakuwa mlinzi na waziri wa kilimo na hazina ya chakula.tunaona namna gani Yusuf alifanya kaz hii kwa ufanisi.Kuna watu wanafuga majini alafu wanatengeneza mazingira waonekane wao watabiri. .
Mbona hawawezi kutabiri mwisho wao au siku Yao ya kufa. Nimemweleza kifupi tu aendelee kufanya madhambi Kuna moto unamsibiri kwa hamu. .
Kuota na kutabiri ni vitu viwil tofaut useless kabisa arguments yako.Kuna watu wanafuga majini alafu wanatengeneza mazingira waonekane wao watabiri. .
Mbona hawawezi kutabiri mwisho wao au siku Yao ya kufa. Nimemweleza kifupi tu aendelee kufanya madhambi Kuna moto unamsibiri kwa hamu. .
🤣🤣🤣Umeanza kuogopa?
Kiufupi ajali niliyotabiri ndio hii na rangi ya ndege kwenye Logo sio shida coz kuna wakati za kijani na njano nilianza kuziona lakini baadae sijui kwani nikaona rangi nyekudu.Baada ya kumaliza form 6 Benjamini Mkapa HGL nilikuwa nawaza sana Majibu ya Language 1 na 2.iLA NILIJIONA noma sana kuna siku nikaletewa mitihani yangu ya Language 1 na 2 imesahihishwa nikaonyeshwa na maksi nilizopata na baada ya matokeo kutoka nilipata D ambayo ukijumlisha zile maksi nilizoonyeshwa kwenye ndoto ukagawanya kwa 2 lazima GRADE iwe DPasi, jamaa alitabiri vilivyo. Utabiri huwa ni chembechembe zenye uhalisia upelekeao tukio, ni patterns tu mkuu maharage ya ukweni yuko sawa. Ajali imetokea
Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
Samahani mkuu,ww ni Nani? Na unasali Imani gani?Kiufupi ajali niliyotabiri ndio hii na rangi ya ndege kwenye Logo sio shida coz kuna wakati za kijani na njano nilianza kuziona lakini baadae sijui kwani nikaona rangi nyekudu.Baada ya kumaliza form 6 Benjamini Mkapa HGL nilikuwa nawaza sana Majibu ya Language 1 na 2.iLA NILIJIONA noma sana kuna siku nikaletewa mitihani yangu ya Language 1 na 2 imesahihishwa nikaonyeshwa na maksi nilizopata na baada ya matokeo kutoka nilipata D ambayo ukijumlisha zile maksi nilizoonyeshwa kwenye ndoto ukagawanya kwa 2 lazima GRADE iwe D
Nakuunga mkono,watu wanaangalia kitu kidogo tu, yaani rangi,Ila hawaoni tukio zima,na mengine mengi. MfanoKiufupi ajali niliyotabiri ndio hii na rangi ya ndege kwenye Logo sio shida coz kuna wakati za kijani na njano nilianza kuziona lakini baadae sijui kwani nikaona rangi nyekudu.Baada ya kumaliza form 6 Benjamini Mkapa HGL nilikuwa nawaza sana Majibu ya Language 1 na 2.iLA NILIJIONA noma sana kuna siku nikaletewa mitihani yangu ya Language 1 na 2 imesahihishwa nikaonyeshwa na maksi nilizopata na baada ya matokeo kutoka nilipata D ambayo ukijumlisha zile maksi nilizoonyeshwa kwenye ndoto ukagawanya kwa 2 lazima GRADE iwe D
Kukutindua au?🤣🤣🤣Umeanza kuogopa?