watakuwa wamempenyeza mtu wao ndani ya himaya ya huyo maarufu ili muda ukifika apige style ya MOSSAD hit-men.Mara ya tatu sasa anatabiri kifo kwa mgombea maarufu....
Nashindwa hata kuelewa malengo yake sasa ni nini?
Nini kilicho jificha ???????????????????
:confused2::confused2:huyu shekhe ana matatizo
Mara ya tatu sasa anatabiri kifo kwa mgombea maarufu....
Nashindwa hata kuelewa malengo yake sasa ni nini?
Nini kilicho jificha ???????????????????
:confused2::confused2:huyu shekhe ana matatizo
huyu mzee njaa kali anawatisha ili wamfate ajifanye anawapa dawa atakufa yeye mwenyewe..asituletee nuksi zake