1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 439
- 1,756
Huwa nashangaa sana kwanini makocha wa Stars hawamsajili Yahya Zayd, moja ya viungo hatari sana hapa nchini, kuna Yahya Zayd, Yussu Kagoma na dogo mmoja alikuwa JKT Ruvu, akaenda Geita na ss yuko Mtibwa, nimemsahau.Hawa ni viungo zaidi ya huyo Zuzu wenu.
Nimewashauri sana Simba kama wanataka kiungo wa chini basi ni Yahya Zayd na sio Sospeter Bajana, Yahya Zayd anajua boli, anajua kukaba, mwembamba lakini shughuli yake nzito.
Wewe Pacome Zuzu na ubishoo wako unaremba remba mbele ya Zayd, thubutu, Zayd ni zaidi ya Himid Mao.Zayd namkubali sana huyu dogo na mara kadhaa nimewashauri viongozi wa Simba hao akina Babacar Sar mnaowalipa mamilioni ya fedha cjui Sadio Kanoute achaneni nao, Yahya Zaidiiiii yule pale, fundi wa chini.
Yahya namfananisha na Seleman Matola yuleee, ama kiungo wa zamani wa Coastal Union Ally Maumba maarufu kama Over the top, au Mao Mkami Ball Dancer au yule kiungo aliyeniuma sana alipoikimbia Simba akaenda Yanga, Method Mogella 'Fundi' kwa sasa marehemu.
Yahya Zaidiiii mungu akufanyie wepesi, ulikuwa kwenye majeraha, uliwahi kwenda nje kucheza soka uliporudi hukukaa vzr lakn ss hv uko vyema, vunja hao wajinga wajinga wa kigeni, naomba ukikutana na Simba wavunje pia Babacar Sarr, Freddy, Pa Omary Jobe, Sadio Kanoute ila usimvunje Chama tafadhali, tutagombana.Ebo.
Nimewashauri sana Simba kama wanataka kiungo wa chini basi ni Yahya Zayd na sio Sospeter Bajana, Yahya Zayd anajua boli, anajua kukaba, mwembamba lakini shughuli yake nzito.
Wewe Pacome Zuzu na ubishoo wako unaremba remba mbele ya Zayd, thubutu, Zayd ni zaidi ya Himid Mao.Zayd namkubali sana huyu dogo na mara kadhaa nimewashauri viongozi wa Simba hao akina Babacar Sar mnaowalipa mamilioni ya fedha cjui Sadio Kanoute achaneni nao, Yahya Zaidiiiii yule pale, fundi wa chini.
Yahya namfananisha na Seleman Matola yuleee, ama kiungo wa zamani wa Coastal Union Ally Maumba maarufu kama Over the top, au Mao Mkami Ball Dancer au yule kiungo aliyeniuma sana alipoikimbia Simba akaenda Yanga, Method Mogella 'Fundi' kwa sasa marehemu.
Yahya Zaidiiii mungu akufanyie wepesi, ulikuwa kwenye majeraha, uliwahi kwenda nje kucheza soka uliporudi hukukaa vzr lakn ss hv uko vyema, vunja hao wajinga wajinga wa kigeni, naomba ukikutana na Simba wavunje pia Babacar Sarr, Freddy, Pa Omary Jobe, Sadio Kanoute ila usimvunje Chama tafadhali, tutagombana.Ebo.