Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,211
- 138,614
View: https://youtu.be/ZRtV1GTdV3c?si=utlV5n-p9g7L7AZq
Machache niliyoyanasa
Barua ya kugombea kupitia CCM alipewa Askofu Gwajima, bahati mbaya alikuwa kazubaa
Akaja mwanamke akanyakua kwa nguvu ile barua na kusonga mbele
Mungu akamwambia yule mwanamke kuwa hana kibali ya kugombea
Mh.Mbowe akachukua barua ya Chadema na kumpa Askofu Gwajima agombee kupitia Chadema
Mungu ataanza kumuaibisha yule mwanamke aliyenyakua barua aliyopewa Gwajima na CCM. Mwanamke atakosa ushawishi, ataanza kutoa kauli za ajabu ajabu. Watu wataanza kutoa kauli za kumbeza.
Mtabiri anasema Bwana amemtuma amwambie Samia kuwa hana kibali cha kuendelea kuwa Rais 2025. Alisema yeye atalazimisha kutaka kuendelea kuwa Rais lakini bwana atamgeuza kuwa kama binti na kufanya vitu vya aibu visivyoendana na umri wake.