Utaacha nini hata ukumbukwe?

Utaacha nini hata ukumbukwe?

Maisha ni safari ndefu, wahenga walisema ni kweli! Mtu anazaliwa, analia, anasoma, anao/anaolewa na kupata watoto, mwisho wa siku anazeeka au hata akiwa kijana anakufa.

Sasa jamii na familia kwa ujumla itamkumbuka kwa lipi hasa ambalo wanaona ni pengo kwao? Mfano Nyerere, Nelson Mandela, Moringe sokoine, Samora Machel Abrahaman Babu, Bibi Titi Mohamed nk, wanakumbukwa kwa kujitoa kwao kupigania Uhuru wa Nchi zao, wewe je?
Tutarejesha utawala wa sheria. Kila mmoja awe sawa mbele ya sheria. Natamani kukumbukwa kama au zaidi ya anavyokumbukwa Hayati Mchungaji Christopher Mtikila
 
Maisha ni safari ndefu, wahenga walisema ni kweli! Mtu anazaliwa, analia, anasoma, anao/anaolewa na kupata watoto, mwisho wa siku anazeeka au hata akiwa kijana anakufa.

Sasa jamii na familia kwa ujumla itamkumbuka kwa lipi hasa ambalo wanaona ni pengo kwao? Mfano Nyerere, Nelson Mandela, Moringe sokoine, Samora Machel Abrahaman Babu, Bibi Titi Mohamed nk, wanakumbukwa kwa kujitoa kwao kupigania Uhuru wa Nchi zao, wewe je?
Kuna mtu atakumbukwa kwa kuuza urithi wetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukisha kufa,kitakachokusaidia ni matendo yako mema uliyokua ukiyafanya enzi za uhai wako,


Haya mambo ya kukumbukwa ni mbwembwe tu za kidunia,
hata wauaji kama kina Hitler na Stalin nao pia wanakumbukwa mpaka leo.
 
Natamqni niache mitoto kama 7hv daah hyo ndoto nataman itimie one day alkn niwe na pesa za uhakika wanangu wasipate tabu tabu na kunilaumu baba yao
 
Watanikumbuka wanaotumia Jina langu huo ni Ukumbusho tosha.

Watoto halali na wa kusingiziwa Watanikumbuka maana wote wanatumia jina langu.
 
Maisha ni safari ndefu, wahenga walisema ni kweli! Mtu anazaliwa, analia, anasoma, anao/anaolewa na kupata watoto, mwisho wa siku anazeeka au hata akiwa kijana anakufa.

Sasa jamii na familia kwa ujumla itamkumbuka kwa lipi hasa ambalo wanaona ni pengo kwao? Mfano Nyerere, Nelson Mandela, Moringe sokoine, Samora Machel Abrahaman Babu, Bibi Titi Mohamed nk, wanakumbukwa kwa kujitoa kwao kupigania Uhuru wa Nchi zao, wewe je?
hawa kina Bibi Titi sijajua mchango wao
 
kukumbukwa sio lazima, kwani haina maana tena kwa wafu...
mfano; sisi tunavyomkumbuka Nyerere, kitendo hicho kinamnufaisha vipi yeye huko aliko kaburini....
kumbuka tu kuwa hata majambazi na magaidi hukumbukwa,....
 
Maisha ni safari ndefu, wahenga walisema ni kweli! Mtu anazaliwa, analia, anasoma, anao/anaolewa na kupata watoto, mwisho wa siku anazeeka au hata akiwa kijana anakufa.

Sasa jamii na familia kwa ujumla itamkumbuka kwa lipi hasa ambalo wanaona ni pengo kwao? Mfano Nyerere, Nelson Mandela, Moringe sokoine, Samora Machel Abrahaman Babu, Bibi Titi Mohamed nk, wanakumbukwa kwa kujitoa kwao kupigania Uhuru wa Nchi zao, wewe je?
Unazungumzia "legacy" au sio mkuu? Vijana wanapaswa kupunguza masuala ya hovyo (kuacha 100% ni ngumu) na kufanya masuala yenye impact kubwa ndani ya jamii zao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom