Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 12,212
- 17,006
- Thread starter
- #41
Ndio mkuu'legancy'!Unazungumzia "legacy" au sio mkuu? Vijana wanapaswa kupunguza masuala ya hovyo (kuacha 100% ni ngumu) na kufanya masuala yenye impact kubwa ndani ya jamii zao.