Utaacha nini hata ukumbukwe?

Utaacha nini hata ukumbukwe?

Dunia ya leo wewe fanya unaloona ni jema usifanye ili ukumbukwe; Binadamu hawakumbuki fadhila watakachofanya ni kuangalia ni wapi ulitoka kwenye njia au kukulaumu kwa shortcomings zao...

Kwahio fanya unachofanya sababu ni chema kukifanya sio ufanye ili ukumbukwe; we have short memories na wengine watapindisha historia ili wakuchafue tu; Human Beings are Bad People ....
 
Tutarejesha utawala wa sheria. Kila mmoja awe sawa mbele ya sheria. Natamani kukumbukwa kama au zaidi ya anavyokumbukwa Hayati Mchungaji Christopher Mtikila
Sawa mkuu!
 
Dunia ya leo wewe fanya unaloona ni jema usifanye ili ukumbukwe; Binadamu hawakumbuki fadhila watakachofanya ni kuangalia ni wapi ulitoka kwenye njia au kukulaumu kwa shortcomings zao...

Kwahio fanya unachofanya sababu ni chema kukifanya sio ufanye ili ukumbukwe; we have short memories na wengine watapindisha historia ili wakuchafue tu; Human Beings are Bad People ....
Sawa,ila wema hauozi!
 
Sawa,ila wema hauozi!
Unafanya wema ili ukumbukwe ?!!

Tenda Wema uende zako; Sababu Binadamu Mpuuzi ukimfadhili atakuudhi bora kumfadhili Mbuzi utampika Mchuzi...; Unless wewe ni kama mimi unafanya wema sio kutegemea return
 
Njoo Dodoma tupime afya ya Akili Yako!Maana kwa hayo maswali utalazwa mwaka!Haiko sawa Akili.
Sio kama wewe akili yako umeifungia kwenye mtungi?
Utasemaje "tumetoka kwa udongo, tutarudi kwa udongo"..... wewe ulitokea kwenye udongo upi? Mfinyanzi, Kichanga au Tifutifu??
 
Unafanya wema ili ukumbukwe ?!!

Tenda Wema uende zako; Sababu Binadamu Mpuuzi ukimfadhili atakuuzi bora kumfadhili Mbuzi utampika Mchuzi...; Unless wewe ni kama mimi unafanya wema sio kutegemea return
Sawa mkuu,utakumbukwa tuu hata ukiwa katili kama Hitler utakumbukwa tuu,ni muda tuu.
 
Sio kama wewe akili yako umeifungia kwenye mtungi?
Utasemaje "tumetoka kwa udongo, tutarudi kwa udongo"..... wewe ulitokea kwenye udongo upi? Mfinyanzi, Kichanga au Tifutifu??
Udongo unaoujua wewe! Maswali ya Mirembe yapo kama karibu sana ,Dodoma.
 
Sawa mkuu,utakumbukwa tuu hata ukiwa katili kama Hitler utakumbukwa tuu,ni muda tuu.
Wewe unamkumbuka babu yako, mzaa babu yako mzaa babu yako ? (After all alifanya jambo la muhimu sana as long as you are concerned; kuanzisha hio chain iliyokuleta wewe) Au yule jamaa aliyegundua Matumizi ya Diesel; au ni mara ngapi ukiwasha taa unasema (Thanks Faraday )?

Au ni wangapi badala ya kushukuru kazi nzuri ya waasisi wanawataja pale tu maisha yakiwagonga (kwamba ndio walituletea umasikini)

The moral of the story (mtizamo au mawazo ya watu usikusume kufanya mambo) unaweza ukajikuta haufanyi what's good bali what's famous....
 
Uko
Wewe unamkumbuka babu yako, mzaa babu yako mzaa babu yako ? (After all alifanya jambo la muhimu sana as long as you are concerned; kuanzisha hio chain iliyokuleta wewe) Au yule jamaa aliyegundua Matumizi ya Diesel; au ni mara ngapi ukiwasha taa unasema (Thanks Faraday )?

Au ni wangapi badala ya kushukuru kazi nzuri ya waasisi wanawataja pale tu maisha yakiwagonga (kwamba ndio walituletea umasikini)

The moral of the story (mtizamo au mawazo ya watu usikusume kufanya mambo) unaweza ukajikuta haufanyi what's good bali what's famous...sahihi
sahihi mkuu!
 
Ukikumbukwa/usipokumbukwa wewe marehemu uliyelala kaburini inakusaidia nini? 😳😳😳

Guess what? After 3.5 billion years, our star (the sun) will run out of fuel and it will expand and become a red giant. It is believed that Mercury, Venus, Earth and probably Mars will be fried up (just like the Bible says that Dunia Itachomwa moto!)...and after that nobody will ever know that a tiny habitable, rocky planet called Earth ever existed!
Ogo tata ndaga!Sawa kikolo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom