Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 3,897
- 5,354
Maisha ni safari ndefu, wahenga walisema ni kweli! Mtu anazaliwa, analia, anasoma, anao/anaolewa na kupata watoto, mwisho wa siku anazeeka au hata akiwa kijana anakufa.
Sasa jamii na familia kwa ujumla itamkumbuka kwa lipi hasa ambalo wanaona ni pengo kwao? Mfano Nyerere, Nelson Mandela, Moringe sokoine, Samora Machel Abrahaman Babu, Bibi Titi Mohamed nk, wanakumbukwa kwa kujitoa kwao kupigania Uhuru wa Nchi zao, wewe je?
Sasa jamii na familia kwa ujumla itamkumbuka kwa lipi hasa ambalo wanaona ni pengo kwao? Mfano Nyerere, Nelson Mandela, Moringe sokoine, Samora Machel Abrahaman Babu, Bibi Titi Mohamed nk, wanakumbukwa kwa kujitoa kwao kupigania Uhuru wa Nchi zao, wewe je?