KirilOriginal
JF-Expert Member
- Feb 13, 2012
- 2,161
- 1,147
Tukumbuke tu kwamba JK aliwahi kutoa angalizo kwamba kama tukihangaika na kujaribu kumnyooshea mtu yeyote kidole kuhusu ufisadi EPA sijiu Kagoda etc etc nchi itayumba.
Hawa watu wana nguvu kuanzia ndani hadi nje. Sasa ndg Zito alipokuwa anajinadi atawataja kwani hakurejea maneno ya swahiba wake?
Hakuna kitaakachoendelea Zito aseme tu anatafutaga pa kukamata masikio ya umma ambako umma wa kawaida utamwona yuko bize.
Hawa watu wana nguvu kuanzia ndani hadi nje. Sasa ndg Zito alipokuwa anajinadi atawataja kwani hakurejea maneno ya swahiba wake?
Hakuna kitaakachoendelea Zito aseme tu anatafutaga pa kukamata masikio ya umma ambako umma wa kawaida utamwona yuko bize.