JS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 2,064
- 497
NAOMBA unipi-emu,unajua mimi mwenyewe ''wa uswazi''unaweza come up na kitu kizuri sana kwa faida yako ya ''uelewa''
Mweeeeeeee we Geoff unataka yule nanihiiiii animwagie tindikali kwa uso???
NAOMBA unipi-emu,unajua mimi mwenyewe ''wa uswazi''unaweza come up na kitu kizuri sana kwa faida yako ya ''uelewa''
HA HA HA HA AH!mbona yule mpole sana!halafu si nitamwambia UNAFANYA RESEARCH?!........i mean a sort of dezatesheniMweeeeeeee we Geoff unataka yule nanihiiiii animwagie tindikali kwa uso???
...hehehe hata gono unapata lile originali.jamani msifanye utani na vitu vya uswazi ni vya ukweli ukweli sio vya kichina uswazi unatapa kitu original kabisa tofauti na kwa sure alafu sebene wanaliweza sio lakitoto utakimbia kama ujajipanga alafu awana gharama ukinogewa ndoutaanza kupewa invoice mara nataka pesa ya saloon mara nataka nywele kama za yule utakiwi umpende sana
mkuu melezo plz, zinapatikana wapi hizo, huku mwandiga tunaweza kuzipata!FIDEL mzee wa machinjion najua atakuja na jibu au mtumie PM akupatie dalali wa kiwalani.
ungesema manzese au mabibo ningekusakia mtaala wa vyumba vya uani akutafutie huko.
Lakini jihadhari usisahau ndom hasa za vidonge kama za kawaida hazivaliki.
Natamani Xmass ingesonga japo two more days ili nirudi uswazi kale kabinti bwana we acha tu. Unakapiga bao kanaita jina lako kimahaba Dah yaani unaamua kujiibia mwenyewe na kumkabidhi zoooote mfukoni ah we acha tu
Mi nimefanya haraka nikaenda kitaani huko, kwa sample niliyoona nashawishika kukubaliana na hoja iliyopo mezani hapa! si nchezo!
Mi nimefanya haraka nikaenda kitaani huko, kwa sample niliyoona nashawishika kukubaliana na hoja iliyopo mezani hapa! si nchezo!
Uswahili kumebarikiwa sn, maisha ya kawaida na watu wana amani. wamerithika na maisha yao, ukiuza gazeti la daily news litakudodea huku ni IJUMAA NA KIU TU.
VIDUME VYA USWAAZI tunashindia kahawa tu,na kucheza bao tangu alfajiri.mashati tunayaweka beganiUswahili kumebarikiwa sn, maisha ya kawaida na watu wana amani. wamerithika na maisha yao, ukiuza gazeti la daily news litakudodea huku ni IJUMAA NA KIU TU.
Acheni kwenda ofu topiki. Hapa tunazungumzia mashori. Tudume tunahitaji sredi yake. Dalili zinaonyesha mpaka sasa mashori wa uswazi wamewapiga bao kali sana viduu vya masaki & co. Hata mi nimeoa uswazi bana! Nainjoi kinoma!Halafu tuanajua sana story za watu mashuhuri wa kisiasa
uswaazi ukiwa na busha ndio unaonekana mjanja!.....Halafu tuanajua sana story za watu mashuhuri wa kisiasa
uswaazi ukiwa na busha ndio unaonekana mjanja!.....
uswazi busha linauzwa sh 500 tu!
yameshuka!we utakuwa unaifahamu ile bei ya zenj-sh 700usinambie yameshuka bei
Hawana makuu mizinga hata kama ipo ni sh. 10,000 maximum. Hawana pozi ni waongeaji wazuri na wakarimu. Watoto wa kishua wameaachwa mbali sana na hawa dada zangu wa USWAZI.
No koment
No koment