Ustadh amlawiti mtoto wa miaka 13

Ustadh amlawiti mtoto wa miaka 13

Status
Not open for further replies.
navuta picha angekua somalia saivi taarifa ingekuja marehemu
 
Mzee acha kuvuta bangi wakati hujala,kulawiti ndio lugha ya staha mbele za watu,hyo kutatua marinda imekaa kihunihuni!
Ooh Sawa Yaani ukitaka kusema kwa staha unasema "Joowzey kamlawiti mwanafunzi mbele ya Kadamnasi"
 
Utashangaa ustaadh huyo huyo akimkuta mtu anakula mchana wakati huu, povu linamtoka utadhani amemuona shetani
 
It is a crime before man and a sin before GOD.
 
Msikitini """? Hah hahaha Mimi na ubazazi wangu wote lakini siwezi kufanya hiyo "" duuuh"...halafu waweza kuta Jamaa alikuwa amefunga ""....Binaadamu tuna msingizia Mungu Mambo Mengi Mnooo""....Sijui kwanini MuNgu aliamua kutoonekana"",......


Mambo mengine hata ibilisi hawezi kufanya
 
haiingii akilini kabisa hebu kabla hajahukumiwa na uchunguzi wa kina ufanyike ili ipatikane ithibati
 
Huo msikiti haufai kuingia tena maana kwa kitendo hicho lazima haja kubwa ilitoka japo kidogo. Halafu usitaadh lazima alitema mate japo kidogo. Sasa mskiti ukishaanywa choo huo ni mskiti au choo ?
 
Udhaifu wa Sheikh sio udhaifu wa Msikiti au dini yake , auhukumiwe yeye kama yeye na sio dini yake .

Ila angekuta mtu anakula hadharani naye angeunga tera la kumshambulia mfyuuu...
shame
 
Hao ndio kawaida yao tunafaham maustadh, ila atokee padri Sasa , kelele na tarumbeta zitapigwa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom