Ustadh amlawiti mtoto wa miaka 13

Ustadh amlawiti mtoto wa miaka 13

Status
Not open for further replies.
Nadhani Kuna njama za kuwachafua Masheikh na maustaadh kwa bifu za Kugombania wadhfa....kama ni anasingiziwa basi Allah(s.w) atasimama naye but kama ni ukweli basi Adhabu dhidi yake iwe moto wa milele ustawiao kwa mawe na kuni za nyika...Allah-waqil
na dhani bado haujaijua Zanzibar vyema " matukio kama hayo kule ndio kwao "".....
 
Dini kubwa kuliko zote inaanzia moyoni(nafsi) mfano mdogo ni pale unapomfanyia rafika yako jambo baya hata kama uliyefanyia hafahamu ulichofanya... kule kushtakiwa na nafsi unakokusika ndio dini ya kweli hiyo hayo mengine yaliyoandikwa kwenye misaafu na biblia ni utamaduni na hadithi zilizotoka kwa hao walioandika.

Makanisa, misikiti, sinagogi huwa tunaenda tu kuficha madhaifu yetu na ndio maana hii habari wengi tunaochangia tunaelekeza shutuma kwenye imani ya huyo ustaadhi bila kujali jamii iliyomzunguka...yaani ni muharifu anayeabudu katika dini ya uislamu.
 
Nadhani Kuna njama za kuwachafua Masheikh na maustaadh kwa bifu za Kugombania wadhfa....kama ni anasingiziwa basi Allah(s.w) atasimama naye but kama ni ukweli basi Adhabu dhidi yake iwe moto wa milele ustawiao kwa mawe na kuni za nyika...Allah-waqil
wewe kuni na mawe yatoke wapi, sema mchwaa
 
Hawa maustaadhi nao kwani huwa hawaruhusiwi kuoa? Mimi huwa nadhani tabia hizi ni za wale wasio oa.
 
shetani kampitia,tumuombee msamaha kwa Mungu
 
Hawa maustaadhi nao kwani huwa hawaruhusiwi kuoa? Mimi huwa nadhani tabia hizi ni za wale wasio oa.
 
Ninachoomba hapa dini na MTU mmoja mmoja vitofautishwe kwenye uchangiaji wa mada
 
Hawa viongozi wa dini wa siku hizi wamezidi uharifu.
Huku kwetu kwa wakatoriki nako balaa tupu, maovu ya namna hii ndo yanayoshusha Imani za waumini kwa kiwango kikubwa sana.

Hii biashara ya UKIRINGO naona imekuwa jambo la kawaida sana kwa sasa maana mambo haya yamekuwa yakijirudia mara kwa mara ! Kuna baadhi ya makosa kama hili yanahitaji adhabu kali sana kwa watenda kosa ! Like elimination by firing !!!!
 
Ila ni sunna jamani,msiwaseme sana waislam teh teh teh
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom