kinyama nje
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 1,839
- 2,481
Hawa ma ustaahi kwanza usthaaz ni jina la kihuni haliko katika uislamu. Lilianza Na wahuni wa kinondoni Na ilala. Hawa waitwe wahuni tu haiwezekani mtoto akalilishwe Qur'an huku kapakatwa. Tuweke madawati na viti majamvi yamepitwa na wakati