Kwahiyo huamini au? Mbona mitaani inafahamika tabia za maustadh, angekuwa padri, angeshambuliwa ata kama kasingiziwa. Mpaka watataka Sheria za kanisa za kuoa zibadilishwe.
Nadhani Kuna njama za kuwachafua Masheikh na maustaadh kwa bifu za Kugombania wadhfa....kama ni anasingiziwa basi Allah(s.w) atasimama naye but kama ni ukweli basi Adhabu dhidi yake iwe moto wa milele ustawiao kwa mawe na kuni za nyika...Allah-waqil