Ustaarabu wa Magufuli vs wa Slaa!

Ustaarabu wa Magufuli vs wa Slaa!

kazi kweli kweli mwaka huu hapa :sick: :glasses-nerdy: kila mtu anavutia kwake
 
Mtoa mada sijui kala maharage ya wapi huyu. Mbona wote miguu yao haionyeshi sehemu walipokanyaga? Nadhani hapo tatizo ni angle picha ilivyopigwa. Wote wamesimama pembeni ya dereva na muundo wa gari hizo ni kama unafanana hivyo naamini aliposimama Magufuli ndipo aliposimama Slaa.
 
Sijasema/kubali kwamba Mh. Slaa amekanyaga kiti cha gari lakini ustaarabu ni zaidi ya "kukanyaga kiti", Ni bora kukanyaga kiti cha gari kuliko kukubali kutumia ndege ya Rais kwa safari binafsi(hata kama kwa kupewa).
 
Hiyo picha ya Slaa hao walinzi wake wanafanana na Mafia Mob (La Costa Nostra) guards.Wana ishara ya shari.Kwanza mavazi yenyewe siyo anayovaa bodyguard,pili katika nchi ya kitropic yenye joto na jua kali namna hii mavazi haya yanawatia karaha.Hii ni dalili ya kutokujiamini.Sasa wakijaaliwa kushika mamlaka itakuwaje?Pili,tuangalie mikutano yao ya hadhara ya CHADEMA: Asilimia kubwa ya viongozi wanatumia nguvu nyingi sana kuzungumza.Calories zinapotea sana hata kwa jambo la kawaida tu...hii nayo ni ishara mbaya katika uongozi.Kiongozi anatoka jasho jingi jukwaani(rafiki yangu Mbowe).naomba wajaribu kuwa wazungumzaji wa wastani watasikiwa tu...message zitafika.

We kweli Mtumzima!
 
Hiyo picha ya Slaa hao walinzi wake wanafanana na Mafia Mob (La Costa Nostra) guards.Wana ishara ya shari.Kwanza mavazi yenyewe siyo anayovaa bodyguard,pili katika nchi ya kitropic yenye joto na jua kali namna hii mavazi haya yanawatia karaha.Hii ni dalili ya kutokujiamini.Sasa wakijaaliwa kushika mamlaka itakuwaje?Pili,tuangalie mikutano yao ya hadhara ya CHADEMA: Asilimia kubwa ya viongozi wanatumia nguvu nyingi sana kuzungumza.Calories zinapotea sana hata kwa jambo la kawaida tu...hii nayo ni ishara mbaya katika uongozi.Kiongozi anatoka jasho jingi jukwaani(rafiki yangu Mbowe).naomba wajaribu kuwa wazungumzaji wa wastani watasikiwa tu...message zitafika.

Mbona unatumia nguvu kuandika?
 
Hivi sisi watanzania ni wagomvi sana!?
Tuna utani sana!? Au wavivu hatuna kazi za kufanya!?
 
Back
Top Bottom